Rion Jr
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 623
- 691
Mm pia nilichukua umiliki kama ww hvyo hvyo ikawa hata pesa ya kununulia mazaga nakosa nikapiga chin nikauza vitu ila simaanish na ww ufanye hvyo sema ipe Muda hiyoo biashara kwanza mpk wa wakuzoee sanaHapa kuna kama miezi sita .ila nimechukua umiliki kutoka kwa mtu alieacha nami nikafungua biashara hiyo hiyo.
Ila sehem za kuachwa ndo uingie ww sio nzuri pia