Mm pia nilichukua umiliki kama ww hvyo hvyo ikawa hata pesa ya kununulia mazaga nakosa nikapiga chin nikauza vitu ila simaanish na ww ufanye hvyo sema ipe Muda hiyoo biashara kwanza mpk wa wakuzoee sanaHapa kuna kama miezi sita .ila nimechukua umiliki kutoka kwa mtu alieacha nami nikafungua biashara hiyo hiyo.
Punguza vijanaBismillah...
Nimeanza biashara ya kiepe yai .chipsi zege daresalamu .ila nachoomba kutoka kwa wadau wazoefu ni namna gani naweza kuongeza return per day.kwa maana hapa gharama za mafuta ni ghali japo viazi bei ni standard 60.000 kwa gunia na mafuta ni 6000 kwa litre. Kuku ni 6500 ila mwisho wa siku unajikuta unatoka na 20k na bado hujatoa vijana wa kazi. Nipeni uzoefu namna gani naweza kuongeza faida ya siku maana nauza ndoo mbili kubwa kwa siku hiyo ni minimum........
Mtaji wa biashara ni 190k .ila imenidondoka kama 1.7 milion kuanzisha hiyo place.ndio maana naumiza kichwa kutafuta altenative ya kuongeza kipato atleast nitoke japo na 30k baada ya operating costs.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kudanganya watu..kila biashara kila mtu naweza kufanya hakuna biashara special kwa ajili ya watu fulani.
Muelekeze namna ya kufanya biashara sio kumkatisha tamaa..
Unless kama unawatafutia kazi ndugu zako wa mchamba wima.
#MaendeleoHayanaChama