Mike400 JF-Expert Member Joined Aug 30, 2015 Posts 210 Reaction score 83 Sep 20, 2024 #41 BEM1 said: Duu jana kuna mahala niliona chupa mingi balaa na nikasema fursa hiyo. Kila wiki hilo eneo bonite, afya, mo, azam wanashindana kuwepo sema mtiti ndo kamtaji na umbali wa huyo mchina Click to expand... Si amesema kama wewe unapima upo mkoani unamuuzia anayesaga .. halafu yule anayesaga anapaki na kumuuzia mchina
BEM1 said: Duu jana kuna mahala niliona chupa mingi balaa na nikasema fursa hiyo. Kila wiki hilo eneo bonite, afya, mo, azam wanashindana kuwepo sema mtiti ndo kamtaji na umbali wa huyo mchina Click to expand... Si amesema kama wewe unapima upo mkoani unamuuzia anayesaga .. halafu yule anayesaga anapaki na kumuuzia mchina