Rudolph Hess
Member
- Sep 29, 2013
- 29
- 9
nimecancell
Kwanza naomba mtu yeyeto asiendelee kuchangia hii post, Mwanzishaji wa hii post nimeshajitambua.
Pili nawaomba msamaha walimu wangu wote niliowataja kwenye hii post kwa usumbufu niliowasababishia na ndio maana nimetumia jukwaa hili hili kuwaomba msamaha.
Tatu nieleze kuwa kilichoctokea ni byproduct za frustration nilizo nazo kutokana na kukosa mkopo halafu maisha yangu hapa chuo kuwa magumu mpaka kila mtu namwona mbaya, sina uwezo wa kutoa hata photocopy hivyo hata watu wa stationery nawaona wabaya, hii ndiyo iliyonipelekea mimi kuamka saa 6 ya usiku kuanzisha hii post nikifikiri natatua tatizo lolote, matokeo yake nimeona ndio nilikuwa naongeza tatizo kwa kutengeneza mazingira ambayo yatawakatisha tamaa walimu wetu kututayarishia material.
Nne nimelazimika kuja tena kuomba msamaha kutokana na jamii yote ya wanafunzi hapa chuoni kunilaani mimi kwa kitendo nilichokifanya, pamoja na kuwa natumia ID fake lakini coment za kulaani kitendo changu zinazotoka kwa jamii ya wanafunzi wenzangu zimeniumiza moyo sana na kwa kuwa na mimi ni binadamu mwenye nyama ingawa ni anoynomous imenipain kwa uzito uleule kama verified. Naamini hili kwa upande wangu halitajirudia tena na nimejifunza kutokana na makosa.
Tano naomba jamii ya wanafunzi wenzangu mnisamehe na mnirudishe kundini tena maana tokea hili litokee nahisi kama mmenitenga, nikipita sehemu naona kama mnanijua, kwenye lecture nalazimika kukaa nyuma sana tofauti na zamani.
Kwanza naomba mtu yeyeto asiendelee kuchangia hii post, Mwanzishaji wa hii post nimeshajitambua.
Pili nawaomba msamaha walimu wangu wote niliowataja kwenye hii post kwa usumbufu niliowasababishia na ndio maana nimetumia jukwaa hili hili kuwaomba msamaha.
Tatu nieleze kuwa kilichoctokea ni byproduct za frustration nilizo nazo kutokana na kukosa mkopo halafu maisha yangu hapa chuo kuwa magumu mpaka kila mtu namwona mbaya, sina uwezo wa kutoa hata photocopy hivyo hata watu wa stationery nawaona wabaya, hii ndiyo iliyonipelekea mimi kuamka saa 6 ya usiku kuanzisha hii post nikifikiri natatua tatizo lolote, matokeo yake nimeona ndio nilikuwa naongeza tatizo kwa kutengeneza mazingira ambayo yatawakatisha tamaa walimu wetu kututayarishia material.
Nne nimelazimika kuja tena kuomba msamaha kutokana na jamii yote ya wanafunzi hapa chuoni kunilaani mimi kwa kitendo nilichokifanya, pamoja na kuwa natumia ID fake lakini coment za kulaani kitendo changu zinazotoka kwa jamii ya wanafunzi wenzangu zimeniumiza moyo sana na kwa kuwa na mimi ni binadamu mwenye nyama ingawa ni anoynomous imenipain kwa uzito uleule kama verified. Naamini hili kwa upande wangu halitajirudia tena na nimejifunza kutokana na makosa.
Tano naomba jamii ya wanafunzi wenzangu mnisamehe na mnirudishe kundini tena maana tokea hili litokee nahisi kama mmenitenga, nikipita sehemu naona kama mnanijua, kwenye lecture nalazimika kukaa nyuma sana tofauti na zamani.