Biashara ya compendium udom ni balaa, walimu wanatuibia wanafunzi

Biashara ya compendium udom ni balaa, walimu wanatuibia wanafunzi

wanachodai walimu ni kupoteza mda wao kuundaa notes na kukupa urahic mwanafunzi wakati wa kusoma hivyo unatakiwa uchangie mda wake na material aliokuandalia la cvyo afundishe halafu asepe ubaki unatafuta your own
 
maisha ya shule ni tabu na shule inakulazmisha ufanye hicho nachofny,mbn hata sisi huku IFMndo hayohyo tu,uchumi sh 10,000,DS sh10,000,ACCOUNT sh10,000,pijana tu mbnaa ndo maisha yanavokwend bwana ,tena hali kama hyo uwe na boom km huna ndo utanuka mpaka ushangae
 
we unaona sawa kitu cha elfu 5 kiuzwe elfu kumi? kichwa umepewa ufikirie na sio kusukia twende kilioni!!

Wee acha ubahiri wa kwenu bana...Mbona mheshimiwa mbunge wako Kapuya ananunua Mbunye ya Tsh 2,000/= kwa kuinunulia gari tena Benz
 
King'ast wewe ni mama au! huna mtoto au mtoto wako hatarajii kutendewa hivyo! Ungelikuwa una mtoto kuwa baadaye atatendewa hivyo ungelilaani kitendo cha walimu hao!

Watoto anao na mmoja yule mkubwa nimezaa nae, amesoma chuo hivyo anayajua yote hayo vizuri.(ukiisoma ifute fasta)
 
Najua we ni akili za 1st year ndo zinakusumbua ukikua utaacha
 
Uwe unafikiri kwanza kabla hujapost thread kama hizo, anyway ndo oriantation course nadhan umejifunza cku nyingine wakikufaham watakubebesha mpaka utie adabu.
 
King'ast wewe ni mama au! huna mtoto au mtoto wako hatarajii kutendewa hivyo! Ungelikuwa una mtoto kuwa baadaye atatendewa hivyo ungelilaani kitendo cha walimu hao!

Kama unadhan kununua compdm ni gharama mwambie mwanao anunue vitabu kwa allowance wanayopewa na board kwa ajili ya vitabu acha kuendekeza ujinga.
 
Kama unadhan kununua compdm ni gharama mwambie mwanao anunue vitabu kwa allowance wanayopewa na board kwa ajili ya vitabu acha kuendekeza ujinga.

Next time jibu kwa kutoa hoja na si kutukana. Sasa neno ujinga linatoka wapi. Post yangu haikuwa na tusi. Usifanye hivyo tena. Nimekusamehe otherwise nigelikutukana, lla waungwana hawafanyi hivyo1
 
Ujinga sio tusi. Kama ni tusi basi Mwl Nyerere alikuwa mtukanaji kwa kutimia neno hili
 
Back
Top Bottom