EDDY COMPUTERS
Member
- Jan 4, 2015
- 6
- 0
Natumai mmeuanza mwaka kwa amani na matumaini mapya,ninakuja jukwaani kutafuta ushauri,mawazo.Niko mkoa wa Kagera na hivi karibuni nimebarikiwa kupata chumba cha biashara pamoja na kimtaji cha shilingi Mil 4, napenda kufungua biashara ya kuuza Computers pamoja na vifaa vyake yaani (Computers &, accessesories), Pamoja na kuwa na wazo hilo sehemu sahihi ya kupata mzigo pamoja na ni jinsi gani biashara hii inaweza walau ikanipa faida kidogo hapa mjini kwetu:
Nimekuja kwenu wadau kuomba yafuatayo;
1.Je ni biashara sahihi ya kufanya wakati huu?
2. Je naweza kupata mtu wa kunisuply hizo computers kwa walau bei ya chini?
3. Je tofauti na hiyo biashara ipi nyingine inaweza ikanipa faida kidogo tofauti na hiyo?
Nb; Nimeamua kuchagua aina hii ya biashara maana walau nina uelewa wa computers and its accessories.
Natanguliza shukurani kwa ushauri wenu
Nimekuja kwenu wadau kuomba yafuatayo;
1.Je ni biashara sahihi ya kufanya wakati huu?
2. Je naweza kupata mtu wa kunisuply hizo computers kwa walau bei ya chini?
3. Je tofauti na hiyo biashara ipi nyingine inaweza ikanipa faida kidogo tofauti na hiyo?
Nb; Nimeamua kuchagua aina hii ya biashara maana walau nina uelewa wa computers and its accessories.
Natanguliza shukurani kwa ushauri wenu