Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ila hii biashara nayo itakuwa inalipa sana,naona fuso kirumba mwaloni zinapakia daily,
kuna dada wa kikenya alikuwa anafuata mwaloni hao dagaa wachafu kwa ajili ya kupeleka nairobi kwenye viwanda vya chakula cha kuku ,alikuwa na pesa chafu ,
nadhani hao wanaopeleka arusha huwa wanavuka hadi Nai.
Kuna jamaa mkenya ana kampuni ya marketing research,yeye unamlipa pesa si nyingi anafanya legwork kuzunguka Nai kulitafuta chimbo,sema link yake ndo iko mbali nikiipata ntaiweka hapa,yeye anaweza kukupa infor zote kuanzia bei,procedure,mbinu na contact za hivyo viwanda vya chakula cha kuku na wala fee yake haizidi 20,000 ya kibongo
Sio awamu hii,Seema nilikua karibu na hao wajasiliamali enzi za jakayaUnaonekana mkuu umeshiba mahela!dah...!
Mchawi mkubwa wa biashara ni uaminifu Chief!Boss! Nimependa
Boss! Nimependa Sana ushauri wako,na nimependa Kwa jinsi ulivoonesha moyo wa kumsaidia mtu kimawazo.
Binafsi napenda Sana biashara ya dagaa Ila Mimi nafanya biashara ya dagaa chafu Kwa ajili ya chakula ya kuku. Niseme ukweli namtumia dalali ambaye nikinunua mzigo huku mwanza nafunga nakumkabidhi dagaa anapeleka kiwandani alafu akimaliza kuuza ananiletea mtaji na faida yangu.
Nafanya vile kwasabb nafanya kazi za serikali na siwezi kuzifanya mwenyewe. Wala siwezi kupata mda wa kupeleka dagaa mwenyewe,kwahiyo mwanza nachukua let say dagaa wa milion 3 au mil5 namkabidhi. Anaenda kuuza Arusha na sijui anapata faida kiasi gani Ila Mimi ninachojali aniletee faida nzuri. Na mpaka sasa dalali huyo Niko naye ndo tunafanya biashara wote,NAOGOPA KUMWAMBIA TWENDE WOTE MAANA ATAONA KAMA NIMEMSTUKIA NA ATAWEZA KUNIKIMBIA,KUSEMA KWELI SIJUI MASOKO YAKO WAPI ARUSHA NA SIJAWAHI KUFIKA JAPO NATAMANI NIFANYE MWENYEWE.
MWENYE KUNISAIDIA MAWAZO PLEASE 0764789563
Laki tano inatosha kwa kuanzia,itakuwa taratibu kama utakuwa na nidhamu ya fedha.,usilete kwanza mikoani...we we nenda kisiwa goziba,au kimoyomoyo,mlumo,ghana,ukawe unanunua dagaa wabichi unawaanika huko huko wakikauka unauzia huko huko mpaka mtaji utakapokuwa mkubwa kuweza kusafirisha mikoani,
AU huko huko visiwani nunua then safirisha uje uuzie kirumba mwaloni...usihangaike kupeleka mikoani...
Sina uchoyo na wazo la biashara kumsaidia mtu yoyoye.
Mwingine anayehitaji ushauri zaidi wa biashara ya kufanya sema hapa nitakupa cha kufanya ili mradi tu uwe na ule msukumo ndani ya moyo wako kufanya biashara bila kutafuta sababu.
Dah uyo jamaa anakupga kwel yaan iyo faida anayo kupa ni mara2 ya faida yake anayopata na hizo dagaa zinasafirishwa mpaka Kenya ndo kunasoko kubwa mkuuBoss! Nimependa
Boss! Nimependa Sana ushauri wako,na nimependa Kwa jinsi ulivoonesha moyo wa kumsaidia mtu kimawazo.
Binafsi napenda Sana biashara ya dagaa Ila Mimi nafanya biashara ya dagaa chafu Kwa ajili ya chakula ya kuku. Niseme ukweli namtumia dalali ambaye nikinunua mzigo huku mwanza nafunga nakumkabidhi dagaa anapeleka kiwandani alafu akimaliza kuuza ananiletea mtaji na faida yangu.
Nafanya vile kwasabb nafanya kazi za serikali na siwezi kuzifanya mwenyewe. Wala siwezi kupata mda wa kupeleka dagaa mwenyewe,kwahiyo mwanza nachukua let say dagaa wa milion 3 au mil5 namkabidhi. Anaenda kuuza Arusha na sijui anapata faida kiasi gani Ila Mimi ninachojali aniletee faida nzuri. Na mpaka sasa dalali huyo Niko naye ndo tunafanya biashara wote,NAOGOPA KUMWAMBIA TWENDE WOTE MAANA ATAONA KAMA NIMEMSTUKIA NA ATAWEZA KUNIKIMBIA,KUSEMA KWELI SIJUI MASOKO YAKO WAPI ARUSHA NA SIJAWAHI KUFIKA JAPO NATAMANI NIFANYE MWENYEWE.
MWENYE KUNISAIDIA MAWAZO PLEASE 0764789563
Kwann usiwatafute mkuu hao watuSio awamu hii,Seema nilikua karibu na hao wajasiliamali enzi za jakaya
Nikiwa tayari ntawatafuta japo kuwapata ni ishuKwann usiwatafute mkuu hao watu
kKwann usiwatafute mkuu hao watu
Duh! Kwani Kenya utaendaje bila connection? Alafu ukizingatia yeye ndo anajua masoko yalipo. Nikipata mtu wa kuniunganisha Kenya naweza Fanya mwenyeweDah uyo jamaa anakupga kwel yaan iyo faida anayo kupa ni mara2 ya faida yake anayopata na hizo dagaa zinasafirishwa mpaka Kenya ndo kunasoko kubwa mkuu
Ushauri ungejarbu kumfatilia kama uko bze bac endelea kuwa bze ila atakapo kuambia anataka Fanya mambo yake ujue kashapata maji wa kutosha kutoka kwako
Asante sanaNgoja waje kukupa muongozo...
We uko wapi boss! Una uhakika na masoko ya dagaa chafu?Nipe kazi ya kutafuta soko Nairobi.
Uaminifu ni jambo kubwa sana kwenye moyo wa mwanadamu na bahati mbaya limekuwa adimu sana pia miongoni mwetu wanadamu, ushauri wangu mkuu huyo Jamaa ni mtu mzuri komaa kufanya nae kazi. Mtu unaeweza kumpa mzigo hata wa laki akaenda auze alete mtaji na faida bila ngonjera, mshukuru Mungu ndugu. Kidogo sio sawa na Hakuna. Kama ungekuwa mwenyewe free ungeweza kujifunza ufanye mwenyewe ila kwa majukumu yako mkuu shukuru hata kwa hicho anachokuleteaBoss! Nimependa
Boss! Nimependa Sana ushauri wako,na nimependa Kwa jinsi ulivoonesha moyo wa kumsaidia mtu kimawazo.
Binafsi napenda Sana biashara ya dagaa Ila Mimi nafanya biashara ya dagaa chafu Kwa ajili ya chakula ya kuku. Niseme ukweli namtumia dalali ambaye nikinunua mzigo huku mwanza nafunga nakumkabidhi dagaa anapeleka kiwandani alafu akimaliza kuuza ananiletea mtaji na faida yangu.
Nafanya vile kwasabb nafanya kazi za serikali na siwezi kuzifanya mwenyewe. Wala siwezi kupata mda wa kupeleka dagaa mwenyewe,kwahiyo mwanza nachukua let say dagaa wa milion 3 au mil5 namkabidhi. Anaenda kuuza Arusha na sijui anapata faida kiasi gani Ila Mimi ninachojali aniletee faida nzuri. Na mpaka sasa dalali huyo Niko naye ndo tunafanya biashara wote,NAOGOPA KUMWAMBIA TWENDE WOTE MAANA ATAONA KAMA NIMEMSTUKIA NA ATAWEZA KUNIKIMBIA,KUSEMA KWELI SIJUI MASOKO YAKO WAPI ARUSHA NA SIJAWAHI KUFIKA JAPO NATAMANI NIFANYE MWENYEWE.
MWENYE KUNISAIDIA MAWAZO PLEASE 0764789563
uko wap mkuu?Niko Mwanza na Nina idea hiyo pia though Niko kwenye research bado,Kama ulifanikiwa kupata info za kutosha, please let's share them
Habari za mchana wadau ....ningependa kujua naitaji kupata vibali vingapi na gharama zake zikoje na wapi naweza kuvi kupata. Ili niweze kufanya usafirishaji wa samaki na dagaa ndani ya nchi