Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Nak
Napatikana tanga mjini...

Dagaa zinatokea huku tanga....

Nna dagaa nyama ( dagaa uono),,, na dagaa wakavu ambao wameanikwa tuu... Yaan Hawa dagaa wakavu wapo Kama wale dagaa wa mwanza isipokuwa Hawa Ni wa maji chumvi...
Lakini hapa nmetangaza dagaa nyama......

Mikoani pia nasafirisha kwa uaminifu mkubwa..


Nakukaribisha uje kipumbwi upate mzigo mkubwa mkuu kama utakua unahitaji zaidi!
 
ndoo kubwa ya kg 10 Ni tsh 55,000.....

kwa maana hiyo kilo Ni 5,500
Mkuu mbona swali langu umepiga kimya kunijibu kuhusu Uduvi nikiwa Tanga maeneo gani nitapata Uduvi na kwa bei nafuu maana nashinda kwaajili ya mifugo yangu.
 
Nipe tofauti ya dagaa mchele na uwono ..maana pale majani mapana akipita muuzaji utasikia dagaa mchele na uwono
 
Brother picha iusike
hao dagaa nyama Ni wapi hao ( weka picha yao )
pia weka picha ya dagaa unao wauza ww
Nauza dagaa nyama mkuu.... Na picha ipo hapo kwa juu Kuna mdau mmoja amesaidia kuweka.... Mimi picha zimekataa ku upload kwa cm yangu
 
sasa mimi nipo dar usafiri ni juu yenu au yangu, kama yangu ni bei gani kusafirisha
Mzigo wa kilo kumi , ishirini ,thelathini mpaka hamsini Ni TSH 5,000 tuu.... Na kea dar Mara nyingi huwa natuma na gari la raha leo
 
mawasiliano hata ya whatsup hujiweka namba
Sijataka kuweka mawasiliano public kiongozi... Nmependa vitu vyote nijibie humu mawasiliano ntampa mteja kwa pm kea anaetaka mzigo ila huku SI unajua Kuna wengine watafaidika tuu hata bila ya kupata mawasiliano yanguu....

Ila kwa contacts zangu njoo pm kiongozi
 
Mkuu mbona swali langu umepiga kimya kunijibu kuhusu Uduvi nikiwa Tanga maeneo gani nitapata Uduvi na kwa bei nafuu maana nashinda kwaajili ya mifugo yangu.
Mkuu samahani ngoja niulizie ntakupa jibu baadae kidogo
 
Nipe tofauti ya dagaa mchele na uwono ..maana pale majani mapana akipita muuzaji utasikia dagaa mchele na uwono
Huku tanga sijasikia wakiitana neno dagaa mchele huwa wanataja uono.... Dagaa mchele ndo uono... Hao Ni dagaa wabichi ambao ndo wamevuliwa tuu
 
Habari zenu wadau... Leo nataka niwaletee biashara ya kuanza na mtaji mdogo... Biashara ambayo kama wewe Ni mwanafunzi wa chuo au mama wa nyumbani au hata mfanyakazi unaetaka kujipatia kipato Cha ziada itakufaa Sana.. biashara hii usipokua na aibu itakutoa vizuri tuu...

Hii biashara unaweza kuanza na mtaji wa 55,000... Ni biashara ya dagaa...
Kwenye hii ela utapata dagaa ndoo kubwa ambao wanafika kilo kumi...
KWENYE JINSI YA KUWA PACK SASA..
Unaweza ukafunga
gram 100 ukauza TSH 1,000
gram 50 ukuaza TSH 500.....
Sasa kwenye kila kilo moja utapata utapata packet 10 za elfu Moja au packets 20 za 500... Kwenye kila kilo moja utapata faida ya tsh 4500 ambapo kwenye kilo kumi utapata faida ya tsh 45,000 Kama kila week ukiweza kuuza Hadi kilo kumi natano hadi ishirini utajikuta mwisho wa mwezi umesave hela nzuri sanaaa...
Natamani maswali na maoni yote niyajibie humu humu ili hata ambao watakua sio wateja wapate kitu Cha kujifunza..
Napatikana tanga mjini...

Dagaa zinatokea huku tanga....

Nna dagaa nyama ( dagaa uono),,, na dagaa wakavu ambao wameanikwa tuu... Yaan Hawa dagaa wakavu wapo Kama wale dagaa wa mwanza isipokuwa Hawa Ni wa maji chumvi...
Lakini hapa nmetangaza dagaa nyama......

Mikoani pia nasafirisha kwa uaminifu mkubwa..
Nilipomaliza form six wakati Niko home nliwahi kufuatana na mshkaji wangu ambae yeye alikuwa anaanika kasera kule sahare. Tulifika mpaka Magoma huko.

Juzi amenipigia simu kuhusu hiyo biashara yake, alinikumbusha mbali sana na imebidi nimfae na ameanza tena kuanika
 
Back
Top Bottom