mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Nak
Nakukaribisha uje kipumbwi upate mzigo mkubwa mkuu kama utakua unahitaji zaidi!
Napatikana tanga mjini...
Dagaa zinatokea huku tanga....
Nna dagaa nyama ( dagaa uono),,, na dagaa wakavu ambao wameanikwa tuu... Yaan Hawa dagaa wakavu wapo Kama wale dagaa wa mwanza isipokuwa Hawa Ni wa maji chumvi...
Lakini hapa nmetangaza dagaa nyama......
Mikoani pia nasafirisha kwa uaminifu mkubwa..
Nakukaribisha uje kipumbwi upate mzigo mkubwa mkuu kama utakua unahitaji zaidi!