Emmathias
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 681
- 958
Bei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.Mkuu, bei zako zikoje?
Nakutumia popote ulipo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.Mkuu, bei zako zikoje?
Karbu sanaBei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.
Nakutumia popote ulipo mkuu
elfu 40 ni kiasi ganiBei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.
Nakutumia popote ulipo mkuu
Niko mombasa. Ninataka hiyo biashara, zitanifikiajeBei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.
Nakutumia popote ulipo mkuu
Taja na kiasi, je kwa gunia au kwa debe?Bei zangu ni sh 40,000 kwa dagaa wa mafuta na sh 20,000 dagaa wakavu.
Nakutumia popote ulipo mkuu
Kwa dumu 1 lenye sado 5 mkuuelfu 40 ni kiasi gani
Inawezekana kabsa, hebu Njoo inbox mkuuNiko mombasa. Ninataka hiyo biashara, zitanifikiaje
Vip binti ulifanikiwa kwenye hii biashara?Khasante kaka usinichoke nikiwa na swali lolote nitakuuliza samani kwa usumbufu
ni wale dagaa wa kukaangwa kwa viungo au ni wa kawaida...Kwa dumu 1 lenye sado 5 mkuu
Habari ndugu!!Ningefahamu kwanza bei yake ili nione kama nitaweza, pia usafiri kutoka mwanza hadi arusha ningependa kufahamu inakuaje. Ni Jambo la kujipanga nikishafahamu gharama
Hapana mkuu, sikufanya tenaHabari ndugu!!
Bado hnaifanya biashara ya dagaa?
Mkuu sorry mm natak kuanza hii biashar nifungue n frame kbsa je natak kuuliz kwa dar soko la uhakik n wap?Ninauza dagaa wazuri wa bukoba, hawana mchanga kabisa, kilo 1 nauza elfu 5, ukihitaji tuwasiliane PM
NIPO DAR
Safi sana bado unaendelea hadi leo?Ninashukuru nilifanyikiwa asanteni sana kwa wana forum's.