N4ton New Member Joined Jul 7, 2021 Posts 2 Reaction score 0 Aug 14, 2021 #1 NYASHO FOOD inawaletea dagaa wa kukaanga pamoja na wale ambao bado hawajakaangwa kwa bei poa. Tunauza jumla na rejareja kuanzia package ya 1000, 2000 na 5000 tshs. Mobile: 0679 147 967 Email: isack4389@gmail.com Musoma, Mara Tz
NYASHO FOOD inawaletea dagaa wa kukaanga pamoja na wale ambao bado hawajakaangwa kwa bei poa. Tunauza jumla na rejareja kuanzia package ya 1000, 2000 na 5000 tshs. Mobile: 0679 147 967 Email: isack4389@gmail.com Musoma, Mara Tz
double click JF-Expert Member Joined Oct 12, 2012 Posts 569 Reaction score 949 Aug 18, 2021 #2 keep it up home boy....nmesoma shule ya msingi Nyasho na home n karibu na kanisa la wasabato Nyasho
Logikos JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 15,460 Reaction score 24,233 Aug 18, 2021 #3 INAUZWA; Biashara ya Dagaa... Tangazo lako limamaanishwa kinachouzwa sio Dagaa bali biashara yenyewe ya hao Dagaa
INAUZWA; Biashara ya Dagaa... Tangazo lako limamaanishwa kinachouzwa sio Dagaa bali biashara yenyewe ya hao Dagaa
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 Aug 18, 2021 #4 KeyserSoze said: INAUZWA; Biashara ya Dagaa... Tangazo lako limamaanishwa kinachouzwa sio Dagaa bali biashara yenyewe ya hao Dagaa Click to expand... DP YAKO INA UJUMBE MZURI
KeyserSoze said: INAUZWA; Biashara ya Dagaa... Tangazo lako limamaanishwa kinachouzwa sio Dagaa bali biashara yenyewe ya hao Dagaa Click to expand... DP YAKO INA UJUMBE MZURI