Biashara ya dala dala au costa

Biashara ya dala dala au costa

Biashara ya Trekta nami naifanya pia. Ila Mimi hii biashara nimebugi sehemu mbili anbazo ukiifanya nawe uwe makini usibugi kama Mimi.

Kwanza Trekta nililinunua Jipya kabisa, tena Massey Ferguson ila halikua la Original from UK, Bali under license from Pakistan, yanauzwa Sinza Mori kama waelekea Meeda Bar upande wa kushoto. Ni heri ningenunua Used but original from UK kuliko Mpya but under licensed.

Pili location ya biashara. Mimi nalima Ufuta Lindi, hivyo nalo nililipeleka Lindi. Kule kilimo ni Ufuta tu Mwishoni mwa Mwaka hivyo sehemu kubwa ya mwaka linakaa idle, mzunguko wa hela unakua mdogo. Linabebaga korosho sometimes but kwa trailer ya kukodisha. Hivyo ili uione faida nakushauri uliweke sehemu ambapo wanalima mwaka Mzima. Faida ingine ya eneo hili ni kua ardhi sio ngumu sana hivyo trekta haiumii.

Lakini kwa ushauri zaidi sio lazima utumie zote 47mil ziishe sasa, waweza pia kufuga kama alivyosema mdau hapo juu, kilimo cha mboga mboga na pia kuwekeza Nyingine kidogo hata kwenye kilimo cha miti.

Ila daladala, SIKUSHAURI aisee from vivid experience niliyo nayo sasa!!

Mkuu nahtaj Msaada wako kuhusu kilimo cha Ufuta mkuu
 
Mkuu nakushauri uje Iringa uwekeze kwenye ardhi kwa kupanda miti ya mbao ambayo ni very profitable kwani kama unavyojua mbao zina dili sana,ekari moja kununua ni 150,000.nakuapia hutajutia kwa uamuzi wako mkuu coz haikupotezei muda wa usimamizi na hauibiwi.ukiona umevutiwa zaidi na hili wazo waweza kuni pm nikupe maelezo mengine zaidi

Mkuu nahtaja mawasiliano mkuu
 
Mkuu nakushauri uje Iringa uwekeze kwenye ardhi kwa kupanda miti ya mbao ambayo ni very profitable kwani kama unavyojua mbao zina dili sana,ekari moja kununua ni 150,000.nakuapia hutajutia kwa uamuzi wako mkuu coz haikupotezei muda wa usimamizi na hauibiwi.ukiona umevutiwa zaidi na hili wazo waweza kuni pm nikupe maelezo mengine zaidi

Kupanda Mpaka kuvuna Miti inachukua Muda gani
 
Kupanda Mpaka kuvuna Miti inachukua Muda gani

Kuanzia miaka 7 unaanza kuvuna miti yako lkn kwa umri huo miti yako itatoa mbao size ndogondogo kama 4 by 2,lkn ukiiacha ifike mpaka umri wa kuanzia miaka 10 basi utavuna miti yako kwa faida zaidi kwani itatoa mbao kubwakubwa kama 8 by 2 au 10 by 2 ambazo huuzwa kwa bei kubwa sana.
 
Wana jf nina mtaji wa milion 47 sasa nataka ninunue costa moja au haice 4 au noha.ambapo nimepiga mahesabu kuwa baada ya miaka miwili ntakuwa nimerudisha mtaji wangu.kma kwa siku nategemea kupata 120 000 kwa mwezi 3600 000.je wenye uzoefu na biashara hii naombeni ushauri
Kama unaweza endesha gari mwenyewe utaweza iona faida ya gari, lakini kama utategemea uweke dereva hata kama ndugu yako usahau kabisa, kuna wakati utafika itabidi utoe akiba yako kulitengeneza hilo gari likiharibika.

Bora ukae na pesa zako ufikirie pole pole utafanya biashara gani, usifanye papara kujiingiza kufanya biashara bila kufanya utafiti wa kina.

Inategemea sehemu unayoishi au unayotaka kufanya biashara kuna biashara ndogo ndogo nyingi unaweza fanya kwa mradi mdogo ili uweze kupata pesa za matumizi, kama vile kuuza Luku, Gas, maji ya chupa na Juice kwa jumla,etc wakati ukifanya utafiti ufanye biashara gani kubwa.
 
Sikushauri kabisa ununue Costa au Hiace. Huu ni ugonjwa wa moyo. Afadhali ulalie hela zake chini ya godoro kila siku unaziangalie na unazikuta intact kuliko kununua Costa au Hiace.
 
Milion 47m inaweza nununua treckta
Tatizo la chombo cha moto siyo ununuzi, unaweza kununua cash au kukopa, bali usimamizi, je utakuwa tayari kwenda Gairo au Lindi kulisimamia wewe mwenyewe hilo Trekta wakati wa kulima mashamba,ukimpa mtu yatakua ya Costa au daladala litafanya kazi usiku na mchana bila wewe kujua na utaletewa robo ya pato lake.

Hawa kina kina Supper Star na Supper Doll tunawaona matajiri wakubwa waliponza biashara mara ya kwanza, walianza kwa mabasi toka Turiani walikokua wakiishi hawa ma Directors ndugu tunawaona wanavaa suti sasa na kusafiri ulimwenguni kote,kati ya hao walikua wanaendesha mabasi toka Turiani kuja Dar.
 
1.Nunua Ardhi au viwanja sehem tofauti tofauti.
au 2.Jenga uswahilini ndanindani ''skwata'' nyumba ''simpo'' za hali ya chini,
utakuwa na uhakika wa kufunga hesabu ya maana kila mwezi.
Bila kusaha ''vi fremu'' vya ''kiushkaji''.....Lenga sehemu yenye mkusanyiko wa mtu ''shazi''.
 
najarib kuku pm sim yangu hainipi access,ukiweza jaribu kun pm tuzungumze machache. Mwisho wa siku maamuzi ni yako mwenyewe.
 
najarib kuku pm sim yangu hainipi access,ukiweza jaribu kun pm tuzungumze machache. Mwisho wa siku maamuzi ni yako mwenyewe.

Nami inagoma nicheki kwenye 0756777266
 
Wana jf nina mtaji wa milion 47 sasa nataka ninunue costa moja au haice 4 au noha.ambapo nimepiga mahesabu kuwa baada ya miaka miwili ntakuwa nimerudisha mtaji wangu.kma kwa siku nategemea kupata 120 000 kwa mwezi 3600 000.je wenye uzoefu na biashara hii naombeni ushauri

biashara ya daladala iko poa sana , unachohitaji ni usimamizi mzuri, jirani alianza na hiace ndani ya miaka 5 sasa anamiliki eicher kadhaa, kiukweli lazima ujitoe sana katika biashara hii, its high risk but the profit is too high also ...and remember taking risk is an adventure...without taking risk u will never go anywhere
 
Mkuu nakushauri uje Iringa uwekeze kwenye ardhi kwa kupanda miti ya mbao ambayo ni very profitable kwani kama unavyojua mbao zina dili sana,ekari moja kununua ni 150,000.nakuapia hutajutia kwa uamuzi wako mkuu coz haikupotezei muda wa usimamizi na hauibiwi.ukiona umevutiwa zaidi na hili wazo waweza kuni pm nikupe maelezo mengine zaidi

Duh,
Mkuu bei yako iko juu aisee, Tshs 150,000/ekari? Hata shamba lenye miche tayari bei haifiki hiyo ndugu.

Kaka Malila tusaidie bei ya eka 1 pale Nyave, Chogo, Ukami, Kipanga n.k
 
Last edited by a moderator:
Go for tree farm for Ur future. Trust me its a great deal. Great investment.
 
Duh,
Mkuu bei yako iko juu aisee, Tshs 150,000/ekari? Hata shamba lenye miche tayari bei haifiki hiyo ndugu.

Kaka Malila tusaidie bei ya eka 1 pale Nyave, Chogo, Ukami, Kipanga n.k

Mkuu,mm huku ni wa kuja tu,ila nimetaja avarage price,it means ina range kwenye 1 laki to 2 depending na location ya eneo,lkn mwisho wa yote ardhi ni ya thamani zaidi kuliko magari.
 
Last edited by a moderator:
Duh,
Mkuu bei yako iko juu aisee, Tshs 150,000/ekari? Hata shamba lenye miche tayari bei haifiki hiyo ndugu.

Kaka Malila tusaidie bei ya eka 1 pale Nyave, Chogo, Ukami, Kipanga n.k

Asante kaka,
Bei za mashamba zinatofautiana kutoka eneo moja mpaka jingine, bei ya juu ya mpaka jioni hii kwa ukanda wa Chogo,Ukami na Kipanga ni Tsh 70,000/ na Nyave ni Tsh 60,000/. Namaanisha jana tumelipia mashamba ktk vijiji hivyo kwa bei hizo, lakini bado mpaka kwa Tsh 40,000/ unapata ktk vijiji vya Itika njia ya Idete ukishapita Mgololo.

Pia bei ya laki moja ni kwa maeneo ya mjini Mafinga kama Mtula na Rungemba au Nundwe na njia ya kwenda Brook bond, kule bei ziko juu. Kule Kilolo maeneo ya Magome, bei iko laki moja sababu ya NEW FOREST waliopo pale.
 
Asante kaka,
Bei za mashamba zinatofautiana kutoka eneo moja mpaka jingine, bei ya juu ya mpaka jioni hii kwa ukanda wa Chogo,Ukami na Kipanga ni Tsh 70,000/ na Nyave ni Tsh 60,000/. Namaanisha jana tumelipia mashamba ktk vijiji hivyo kwa bei hizo, lakini bado mpaka kwa Tsh 40,000/ unapata ktk vijiji vya Itika njia ya Idete ukishapita Mgololo.

Pia bei ya laki moja ni kwa maeneo ya mjini Mafinga kama Mtula na Rungemba au Nundwe na njia ya kwenda Brook bond, kule bei ziko juu. Kule Kilolo maeneo ya Magome, bei iko laki moja sababu ya NEW FOREST waliopo pale.

Mzee naku pm....
 
Asante kaka,
Bei za mashamba zinatofautiana kutoka eneo moja mpaka jingine, bei ya juu ya mpaka jioni hii kwa ukanda wa Chogo,Ukami na Kipanga ni Tsh 70,000/ na Nyave ni Tsh 60,000/. Namaanisha jana tumelipia mashamba ktk vijiji hivyo kwa bei hizo, lakini bado mpaka kwa Tsh 40,000/ unapata ktk vijiji vya Itika njia ya Idete ukishapita Mgololo.

Pia bei ya laki moja ni kwa maeneo ya mjini Mafinga kama Mtula na Rungemba au Nundwe na njia ya kwenda Brook bond, kule bei ziko juu. Kule Kilolo maeneo ya Magome, bei iko laki moja sababu ya NEW FOREST waliopo pale.

Ahsante sana Mkuu wangu,
Hope ufafanuzi wako umeeleweka. Mtoa mada atakua amefaidila na huu ufafanuzi hivyo kufanya right decision. Ila kwa biashara ya daladala nami simshauri, unless labda dereva awe yeye mwenyewe!!
 
Asante kaka,
Bei za mashamba zinatofautiana kutoka eneo moja mpaka jingine, bei ya juu ya mpaka jioni hii kwa ukanda wa Chogo,Ukami na Kipanga ni Tsh 70,000/ na Nyave ni Tsh 60,000/. Namaanisha jana tumelipia mashamba ktk vijiji hivyo kwa bei hizo, lakini bado mpaka kwa Tsh 40,000/ unapata ktk vijiji vya Itika njia ya Idete ukishapita Mgololo.

Pia bei ya laki moja ni kwa maeneo ya mjini Mafinga kama Mtula na Rungemba au Nundwe na njia ya kwenda Brook bond, kule bei ziko juu. Kule Kilolo maeneo ya Magome, bei iko laki moja sababu ya NEW FOREST waliopo pale.

Mkuu umefunguka vyema,waliopandisha thamani ya ardhi kwa vijiji vya wilaya ya Kilolo ni hawa NEW FOREST.
 
Back
Top Bottom