Biashara ya Danguro..

jamaa linaweza kupanda dau kubwa mara 2 ya mtaji uliyowekeza lakini linakutaka wewe tajiri hapo vipi? Hebu muogope mungu wa mababu zako,na hata mila na desturi zetu waafrika haziruusu hiyo biashara. Kama unamtaji wa kutosha nenda kwa Kameruni,kwani wewe ni mfuasi wake na utuondolee huo upuuzi hapa.
 
Wakuu nashukuru kwa mawazo yenu, ila mchina wangu anashindwa kuwajibu mmoja mmoja, nitatolea ufafanuzi (maswali yote) punde tu nikifika nyumbani.

asanteni
 
sex trade is illegal.fungua massage service.hiyo inakuwa sidejob
 
mkuu m pesa ishu ni kwamba nitatangaza nafasi za kazi na wale watakaokuwa interested nikiridhika nao basi tutasaini mkataba ambao utampa haki zote kama waajiriwa wengine.. Ndiyo maana nataka kuifanya iwe legal bussines!

Haiwezi kuwa legal busness, sheria ya sasa hairuhusu. Peleka hoja binafsi bungeni ili serikali Waziri wa sheria apeleke muswada wa marekebisho ya sheria....Au subiri katiba mpya...
 
mimi nina guest na bar maeneo ya manzese na nimeweka huduma hii ina run kimya kimya katika guest yangu na inaniingizia KIPATO KIKUBWA SANA ni biashara nzuri sana asikwambie mtu na kama wataka kuifanya ifanye
 

Mkuu siyo lengo langu kumtumia mtu, na kwa mantiki hiyo nitaajiri wale wenye interest ya kufanya kazi. Isitoshe wapo kibao mtaani na wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, hivyo kwa kuanzisha hii biashara nitakuwa ninawasaidia na wao pia.

Mimi siku za karibuni nimekuwa na fantasy ya kutembea na mature woman...nitakuwa loyal customer kama kwenye hhiyo list ya waajiriwa atakuwa mama yako mzazi.Dada zako nitawaachia wadau wengine.

Kwa kuwa ni ajira basi nitaajiri wale watakaopenda na wenye hobi na hii kazi (wapo wengi tu). Hata ukitaka nikakuoneshe wale wanaoifanya hii kazi niko tayari muda wowote kukupeleka ukajionee na miongoni mwao Mama yangu hayupo kwa sababu siyo hobi yake. Hata mama yako pia akiomba nimuajiri most likely hatafanikiwa kwa sababu nitakuwa nazingatia kigezo cha umri, unless yuko under 30.

Shida ni kwamba hakuna sheria inayotoa ruhusa kwa sex workers! Kwa hiyo sahau kutumia neno legal business.
Nakushauri ingia kwa pazia la escort business. Hiyo itatambulika kisheria lakini mambo yatakayokuwa yanaendelea ni kama hayo unayoyataka wewe.

Mkuu ubarikiwe sana, nitajaribu kucheki hii option iwapo plan A ikishindikana..
 
kama una mtoto au mke au dada yako awe kati ya watoa huduma.

Sina mtoto, sina mke wala dada.. Ila watoa huduma watakuwepo mkuu, shaka ondoa..

Kwa kigezo cha 'liberal' ndio mnatuletea 'uKameroni'

Ukameroun na hii biashara havina uhusiano mkuu, sifungamani na imani za kikameroun.. Shaka ondoa Babu M

ndg yangu futa hayo mawazo ya kishetani ogopa dhambi ndg yng hayo ni mawazo ya kishetani kma utafungua huo mladi na laana iwe juu yako

Asante Baba Mchungaji..

Naomba unijibu,utakuwa tayari kuajiri dada zako kama wanataka?

Obviously watanzania wote ni ndugu, na ndiyo maana nikaweka wazi kuwa dada zangu watanzania nitawapa kipaumbele kwenye kupata ajira kisha baadaye ndiyo nitaajiri watu wa kabila ingine.
 
Anzisha bana. Akikataa kunifungulia mlango usiku, nijuwe nitaenda wapi. At least haki zetu za kufunguliwa mlango usiku wa manane zitazingatiwa.
 
Lakin wadau kama mnafatilia!HII BIASHARA IPO!
Mnaikumbuka makala ya BBC?
Na serikal wala haija'respond,sasa hapa napata mashaka na fyombo fya DOLLAR

Dah, ina maana tayari kuna wajanja walishaniwahi???

Ni mawazo mazuri ila dini,serekali na utamaduni wetu hatujafikia hapo labda mwaka 20000011 kama utakuwepo jaribu kuwekeza hako ka mtaji kako

Huo mwaka kama sintokuwepo mkuu basi nakupa haki zote za kutekeleza hii kitu..


Poa mkuu, nashukuru kwa mwongozo..

TANMO no where to be seen now!Hawakukosea walionena' mkuki kwa nguruwe mchungu'

Nipo kaka, nilikuwa nimetingwa kidogo.. usichukie ndugu, hapa tunabadilishana mawazo kwa nia ya kujenga wala siyo kubomoa. Mapendo..

Aiseee arifu .....hii business nikuambie ukweli utapata wa wateja japo kwa hapa kwetu ni biashara haramu....

Nakushauri jenga kanisa tafuta waumini.....chukua sample space ya Geo Dervie wa Arusha

Mi na kusimama mbele ya watu hatupatani, achia mbali kuhubiri..


Tahnks, nitacheki uwezekano wa kuufanyia kazi huu ushauri..
 

Asante kwa ushauri..

Nina mashaka na mtoa uzi nahisi atakua sio mzima.

Aisha mambo?
neno uzima lina maana nyingi sana, sijui unamaanisha nini? hebu fafanua kidogo basi mpendwa..

yap ..hujakosea kabisa ..nimefuatilia sana post zake humu ndani ..jamaa upstairs hakujatulia ... Atakuwa na matatizo makubwa sana.

Mtakatifu sijakuelewa, hebu fafanua zaidi..
Ubarikiwe
mimi nina guest na bar maeneo ya manzese na nimeweka huduma hii ina run kimya kimya katika guest yangu na inaniingizia KIPATO KIKUBWA SANA ni biashara nzuri sana asikwambie mtu na kama wataka kuifanya ifanye

Mkuu nitakutafuta unipe mwongozo namna hii biashara inakwenda.
Asante sana
 

Mkuu hiyo Avatar yako iko under 18 halafu unaandika habari za kifedhuli haipendezi kabisaa...unapotakaandika habari kama hizi changa avatar yako.
 
Khaaaaaaaa! We tanmo hebu njo nikuazime shamba ulime.

halafu ukilichukua niendelee kufa njaa siyo?

Mkuu hiyo Avatar yako iko under 18 halafu unaandika habari za kifedhuli haipendezi kabisaa...unapotakaandika habari kama hizi changa avatar yako.

Mkuu ufedhuli maana yake nini?
Usimind mkuu, tupo kuelimishana.
Mapendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…