Biashara ya Danguro..

Sielewi katika biashara zote halali ambazo hazikuhitaji kuuliza sana vibali vyake vimekushinda nini hadi ukafikia hapa.
2.Utakuwa unawapima kila mwezi hao wafanyakazi kuhakikisha usalama wa afya ya wateja..na je huyu mteja anayekuja haitajiki kupimwa afya?au sababu anakuletea pesa hutojali watoto wa wenzio kuangamia mradi tu watoto na familia yako inaenda chooni ..hapa nimeamini kweli binadamu wana ubinafsi hasa wewe..kuna mtu kakuambia kwenye hiyo danguro uweke watoto wako na mkeo na nduguzo hao umewakwepa kujibu maswali yao...Usijione sababu ya kipato ulicho nacho leo kuwa utayofanya kwa wenzio kwako hayatakufikia haiendi hivyo na huwezi jua ya kesho..they say Be good to the people on your wayUp the ladder 'cause you' ll need them on your way down
 
Mkuu naona hilo wazo la kuanzisha hiyo biashara achana nalo (NI MAONI YANGU SI LAZIMA UYAFUATE) Mbona kuna biashara nyingi tu zenye kukupa faida.LAKIN HII NAPATA KIGUGUMIZI KUKUUNGA MKONO
 
Wazo sio baya saana mkuu, hasa pale ulipogusia point ya mabinti kujiajiri kwa faida ya kujipatia kipato, nina amini katika kuhakikisha kwamba utadhibiti mapato kwa faida ya kukuza uwekezaji wako, itapendeza pia wewe mwenyewe usiwe unacheza mbali na eneo la tukio. Swali langu kwako ni kwamba, pamoja na mipango mahsusi ya mradi wako tarajiwa, unamawazo gani kuhusu kuajiri ndugu zako wa karibu (kama dada zako wa familia moja, au mabinti zako uliowazaa wewe na mke wako) ili kuhakikisha mapato hayaendi mbali na wewe?
 
Si kubaliani na wewe ,hakuna mtu yoyote anafanya kazi ambayo ni highly stigmatized in the sociaties kwa kupenda au kama hobby.Wote wanajiforce kufanya kwa ajili ya pesa, ndio maana utaona asilimia kubwa ya wasichana wanaofanya kwenye madanguro wanasifa moja kubwa ambayo ni low socioeconomic class na kwa sababu hakuna true consent hauwezi kuitenganisha na RAPE.

Kwa mfano, Uwapange clients 20 na wasichana 20 wanaofanya kazi kwenye madanguro halafu uwalipe wasichana kufanya mapenzi na hao clients lakini they can say NO and take the money or YES and still have the same amount, i bet all of them will say "hell no" na hao clients wakiwa kinganganizi wanaweza kutemewa mate.Hii inakupa picha hawafanyi hiyo biashara kama hobby kama unavyosema.
 
Obviously watanzania wote ni ndugu, na ndiyo maana nikaweka wazi kuwa dada zangu watanzania nitawapa kipaumbele kwenye kupata ajira kisha baadaye ndiyo nitaajiri watu wa kabila ingine.
Kama una nia ya kuwasaidia hao "dada" zako kuna baishara nyingi unaweza kufungua na kuwaajiri na end of the day they can walk and hold their heads high, i mean without losing their respect and dignity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…