HOVYO HOVYO
Member
- Jul 6, 2017
- 34
- 27
Chukulia gram moja ya dhahabu 75000,kwa milioni mbili utanunua gram atleast 27,unaenda kuuza gram moja 90000, faida itakuwa, 400,000. Karibu tufanye biashara. Sijui gharama za kuishi itazitolea wapiHabari wanabodi Nina mtaji wa million 2 nataka kufanya biashara ya madini hasa dhahabu popote pale inapopatikana pls kwa wenye uzoefu naomba kufahamishwa changamoto na faith zake
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mrembo upo? Daah naiona chata ya wereva y2following
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Baba jeska anazidi kutukomesha lol nipo miss uMrembo upo? Daah naiona chata ya wereva y2
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Miss you too mrembo.... za miaka?baba jeska anazidi kutukomesha lol nipo miss u
Nzuri tu my.kakaMiss you too mrembo.... za miaka?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hii ngumu, bora anunue, auzeAkafadhili duara
Asante sana mkuuBiashara ya dhahabu kwa mtaji wa mill2 ni sawa na kujaza maji kwenye tengaa ukitegemea kulijaza.
Sijajua unategemea ku-base upande gani? Lakini vyovyote vile aidha ni upande wa Plant(kuchakata marudio),Gharasha(kusaga mawe ya dhahabu),Mwaroo(kuosha mchanga kuchuja dhahabu husika) au Ilusion( kuchuja/kuchoma dhahabu) hiyo hela ni kidogo na haitosh ata chembe..
Pengine kwa amount iyo kama uko reluctant na persistant kwny biashara iyo nenda machimbon ujaribu kununua mabaki ya mawe(feloo) depending na mgodi unavotoa(mwamba) unaeza patapata kidogokidogo au ungana na wenzako mchimbishe duara lenu..apo hutokosa hela ya kula na vocha. In long term unaeza kuhamia kweny 'ukota'.
Fursa ziko nyingi eneo hilo, na kama ukiingia field uko(machimbon) more opportunities will show up..kila la kher mkuu
#G.T.O
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
OK nilikuwa nasema kuhusu machimboni na sio kwa sonara by the way asante kwa ufafanuziChukulia gram moja ya dhahabu 75000,kwa milioni mbili utanunua gram atleast 27,unaenda kuuza gram moja 90000, faida itakuwa, 400,000. Karibu tufanye biashara. Sijui gharama za kuishi itazitolea wapi
Njoo tuifanye mie najua pakuipata dhahabu bila kusubiria.....na soko lake nalijuaHabari wanabodi Nina mtaji wa million 2 nataka kufanya biashara ya madini hasa dhahabu popote pale inapopatikana pls kwa wenye uzoefu naomba kufahamishwa changamoto na faith zake
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Funguka uko wapi na inafanyajwe hiyo biznes Koz pia kuna matapelNjoo tuifanye mie najua pakuipata dhahabu bila kusubiria.....na soko lake nalijua
Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
Nipo mwanza....for more details njoo pmFunguka uko wapi na inafanyajwe hiyo biznes Koz pia kuna matapel
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mzee ni PM tuzungumze kidogo hiyo fulsa ya dhahabu.Chukulia gram moja ya dhahabu 75000,kwa milioni mbili utanunua gram atleast 27,unaenda kuuza gram moja 90000, faida itakuwa, 400,000. Karibu tufanye biashara. Sijui gharama za kuishi itazitolea wapi
Nimekupm umekimbiaMzee ni PM tuzungumze kidogo hiyo fulsa ya dhahabu.
Post sent using JamiiForums mobile app