Biashara ya Dhahabu

Following

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wana jukwaa Samahani sana mimi ni mgeni naomba ni msaada kama kuna yeyote anafahamu kuhusiana na hili jiwe maana hatujui kama ni dini au lah
 
Karibu Chunya tufanye biashara
Vp mapori ya Chunya upatikanaji wa dhahabu ukoje. Hasa kwa kununua kutoka kwa wachimabaji/wachenjuaji wadogo!? Kwa wiki moja unaweza kununua gram ngapi kama pesa ipo!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…