Licenced dealers wapo masoko ya dhahabu nenda huko, na wewe pia lazima utambulike na mamlaka.Mkuu,
mimi lengo langu ni kununua toka kwa “licensed dealers”, sio kichochoroni, na ku export. unavyo fikiri inaweza kulipa?
hapa nilipo bei ni Tshs 149,691 kwa 24k
nataka kujua kama nitaweza pata discount na vitu kadhalika kuona kama inaweza kuwa biashara nzuri.
asante
Usituchoshe...Mbona rahisi,..kama una mteja tayari si muulize yuko tayari kununua kwa shs ngapi? Then angalia bei ya huku ni shs ngapi..? Angalia operation costs then utajua kama kuna faida au la.Nashukuru kwa ushauri wako!
Nimepata soko,ambalo wapo tayari kununua dhahabu kwa volume yeyote.
Ndio maana nikasema, kama nikinunua kwa licensed dealers, sizungumzii uchochoroni, je inaweza kuwa na faida? hapa nazungumzia bei kuwa karibia sawa ulimwenguni.
nashukuru kwa ushauri wako wa hardware, ila kwa kazi nayo fanya ya kusafiri kila mara sidhani kama nitaweza kuifanya na pia sipo Tanzania.
We jamaa mbona mbabaishaji sasa??Nashukuru kwa ushauri wako!
Nimepata soko,ambalo wapo tayari kununua dhahabu kwa volume yeyote.
Ndio maana nikasema, kama nikinunua kwa licensed dealers, sizungumzii uchochoroni, je inaweza kuwa na faida? hapa nazungumzia bei kuwa karibia sawa ulimwenguni.
nashukuru kwa ushauri wako wa hardware, ila kwa kazi nayo fanya ya kusafiri kila mara sidhani kama nitaweza kuifanya na pia sipo Tanzania.
Usituchoshe...Mbona rahisi,..kama una mteja tayari si muulize yuko tayari kununua kwa shs ngapi? Then angalia bei ya huku ni shs ngapi..? Angalia operation costs then utajua kama kuna faida au la.
"Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa"Nyuzi za kitapeli tapeli hizi mkuu. Yaani mtu mteja anaye sasa anachosumbua watu hapa ni nini?? Au ndio unasukwa mtego wa kutapeli watu
asante,Usituchoshe...Mbona rahisi,..kama una mteja tayari si muulize yuko tayari kununua kwa shs ngapi? Then angalia bei ya huku ni shs ngapi..? Angalia operation costs then utajua kama kuna faida au la.
Njoo Kahama, nitafute tukaweke kikao Chillers kwanza, kabla hatujaenda machimboni Mwime, Nyangalata, Mwabomba tukalangue mzigo kwa wachimbaji wa dogo. Muhimu tuwe na mizani na machine ya kuchekia purity.Wakuu,
Naomba kujua, ni jinsi gani naweza pata faida kwenye biashara ya dhahabu. Nauliza hili swali kwasababu,bei ya dhahabu ni sawa karibia kila sehemu!
Nataka kufanya biashara ya dhahabu legit sio kichochoroni kwa lengo la kushafirisha kwenda USA. mtaji wangu ni Tshs 100M
NB, kwa watu wazoefu, huwa mnanunua kwa bei chini kwa asilimia ngapi?
asanteni.
****************************
Updated
Wakuu, nazungumzia kununua Dhahabu toka kwa “licensed dealers “ na sio kwenda porini. Hii ni kwasababu ya kupata makaratasi ya kufanya export
Nashukuru,"Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa"
Kuna ndoano imerushwa hapa ajichanganye mtu akalie kimya kimya.
nadhani haukunielewa swali langu,Nyuzi za kitapeli tapeli hizi mkuu. Yaani mtu mteja anaye sasa anachosumbua watu hapa ni nini?? Au ndio unasukwa mtego wa kutapeli watu
Aanha, nimekuelewa sasa,Nashukuru,
ila watu hawajanielewa swali langu la msingi.
“ mimi nilikuwa nataka kujua asilimia ngapi naweza kupata ya discount kwenye soko kwa sababu bei huo ni sawa duniani kote”
sawa nashukuru, ngoja ni edit upya.Aanha, nimekuelewa sasa,
Pia swali lako lina make sense tusubiri wataalam waje wakujuze,
Ushauri wangu unge edit post yako na kuliweka hili swali ili kwa mchangiaji mpya asipate tabu ya kuelewa kama sisi
Wala sijakataa mpango wako ni mzuri, lakini madini yana ushetani mwingi waweza nunua kitu original leo kesho kiwe fake.ndo maana unatakiwa kuwa mshirikina sana au umshikilie Mungu sana.Nashukuru kwa ushauri wako!
Nimepata soko,ambalo wapo tayari kununua dhahabu kwa volume yeyote.
Ndio maana nikasema, kama nikinunua kwa licensed dealers, sizungumzii uchochoroni, je inaweza kuwa na faida? hapa nazungumzia bei kuwa karibia sawa ulimwenguni.
nashukuru kwa ushauri wako wa hardware, ila kwa kazi nayo fanya ya kusafiri kila mara sidhani kama nitaweza kuifanya na pia sipo Tanzania.
unaweza kuwa ushauri mzuri,ila sio ushauri anaotaka mtoa mada..Wala sijakataa mpango wako ni mzuri, lakini madini yana ushetani mwingi waweza nunua kitu original leo kesho kiwe fake.ndo maana unatakiwa kuwa mshirikina sana au umshikilie Mungu sana.
Mara ya kwanza utapata pesa wakuvutie ktk soko , mara ya pili utapigwaa mpaka utauza nyumba ya urithi.
Oh kumbe wewe ni msafiri na hauko tz bas biashara pekee inayo kufaa ni real estate, nunua viwanja wekeza kwenye ardhi utakuja nikumbuka baadae.
Narudia tena na tena kama pesa ipo jenga apartments, nunua viwanja baada ya mwaka unaanza kuuza kwa bei kubwa.
Achana na madini wale umbwa wakishajua life stail yako watakupiga tukio hutoamin.
Hao licensed dealers ndo wahuni wenyewe mjini.
Mtu ambae alifanikiwa kwenye madini lazima kwanza apigwe afirisike akili imkae sawa. Akirudi sokoni nae anarudi ashakomaa akili uchawi wote wa dunia hii anaujua basi hapo ndo anarudi sokoni.
Kama nakudanganya hiyo pesa iweke kwenye madini mwaka mmoja nakusubiri hapa jf ukisaga meno. All the best
Nashukuru sana kwa mda wako na ushauri,nimekuelewa vizuri sana.Wala sijakataa mpango wako ni mzuri, lakini madini yana ushetani mwingi waweza nunua kitu original leo kesho kiwe fake.ndo maana unatakiwa kuwa mshirikina sana au umshikilie Mungu sana.
Mara ya kwanza utapata pesa wakuvutie ktk soko , mara ya pili utapigwaa mpaka utauza nyumba ya urithi.
Oh kumbe wewe ni msafiri na hauko tz bas biashara pekee inayo kufaa ni real estate, nunua viwanja wekeza kwenye ardhi utakuja nikumbuka baadae.
Narudia tena na tena kama pesa ipo jenga apartments, nunua viwanja baada ya mwaka unaanza kuuza kwa bei kubwa.
Achana na madini wale umbwa wakishajua life stail yako watakupiga tukio hutoamin.
Hao licensed dealers ndo wahuni wenyewe mjini.
Mtu ambae alifanikiwa kwenye madini lazima kwanza apigwe afirisike akili imkae sawa. Akirudi sokoni nae anarudi ashakomaa akili uchawi wote wa dunia hii anaujua basi hapo ndo anarudi sokoni.
Kama nakudanganya hiyo pesa iweke kwenye madini mwaka mmoja nakusubiri hapa jf ukisaga meno. All the best
Nampa tu taadhali maana kuna baba hapa kapigwa huyo busy anauza bus zake ahaaa kabakiza moja , ila alishawahi pata kupitia hayo madini sasa hivi wahuni wamemuingiza mjini hana namna tofautu na juuza bus zake.unaweza kuwa ushauri mzuri,ila sio ushauri anaotaka mtoa mada..
😁😁😁Wala sijakataa mpango wako ni mzuri, lakini madini yana ushetani mwingi waweza nunua kitu original leo kesho kiwe fake.ndo maana unatakiwa kuwa mshirikina sana au umshikilie Mungu sana.
Kama sio sehenu sahihi kwanini uulize swali?Naona watu hawajanielewa! ndio sababu ya ku edit post.
swali langu la msingi ni kwamba nataka kujua, kwa mtaji wa Tshs 100M.
Je naweza pata “Discount” kiasi gani? nataka kusikia makisio tu na kutoka kwa experienced dealers.
Sipo hapa kununua au kutafuta dhahabu maana sio sehemu sahihi.
asanteni
Nimejifunza hata MimiHii ni unataka kuwa mchuuzi wa unprocessed gold au processed, kama ni unprocessed inakubidi uanzie machimbo/migodi ya wachimbaji wadogo ambapo unatakiwa uwe na mwalo na crusher(karasha),ambapo wachimbaji wadogo wanakuwa wakisaga mawe yao hapo mwaloni kwako ,wanaoshea na kupembulia hapohapo kwako so faida yako inakuwa ni ile pile(lundo),na ukiwa na scale(mzani) kuna watakokuuzia hapohapo baada ya kupembua wengine wataenda kuuza wanakojua wao.
Na kama unataka kuwa mchuuzi wa processed gold hapa itakulazimu kuwa leseni kutoka ofisi ya madini mkoa usika, ambapo utakuwa na ofisi yako hapo soko la dhahabu ukisubiri wachuuzi wadogo kutoka "mialoni" wanaokuja kuuza hapo sokoni. Hapa inatakiwa pia uwe na scale ya kupimia uzani(grams) na purity ya dhahabu utakayoletewa. Bei ya dhahabu hutofautiana kutokana na purity yake. Kuna dhahabu inakuwa na uchafu (sanasana copper na madini mengine),so kulingana na purity kiasilimia 70%,80%,90% ndo itatathmini ununue kwa bei gani kulingana na soko la dunia, japokuwa hapa nchini bei elekezi inacheza around 140,000 kwa gram 1 ukiwa soko la dhahabu. Lakini bei inakuwa nafuu ukienda pori ( machimbo ya wachimbaji wadogo)
kumbuka pia bei ina fluctuate.
kaka,Kama sio sehenu sahihi kwanini uulize swali?
Akili zako bado zinakukumbusha kuchezea matope