Biashara ya dhahabu

Biashara ya dhahabu

Mwiba1

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
1,122
Reaction score
2,445
Wazee wa migodi je ni wapi naweza kwenda kuweka karasha langu kwa sasa? Vigezo vya eneo iwe kama ifuatavyo:

1. Ningependa kutegemea wateja kwani nina mambo mengi kwa sasa sina mtaji wa kuchimbisha wala kununua mawe labda yawe makali sana yanayoweza kunirudishia gharama.

2. Ningependa nje ya kanda ya ziwa maana kanda ya ziwa nimeshapiga sana kazi na ppm kwa sasa sio nzuri labda kwa kutumia gharama nyingi

3. PPM isiwe chini ya 5

Mwenye uelewa tujulishane, kwa mwenye eneo au duara na anauhakika wa mawe ya kutosha ninaweza kutoa karasha zaidi ya moja tupige kazi kwa asilimia

Nasubiri mirejesho karibuni.
 
Wazee wa migodi je ni wapi naweza kwenda kuweka karasha langu kwa sasa? Vigezo vya eneo iwe kama ifuatavyo:

1. Ningependa kutegemea wateja kwani nina mambo mengi kwa sasa sina mtaji wa kuchimbisha wala kununua mawe labda yawe makali sana yanayoweza kunirudishia gharama.

2. Ningependa nje ya kanda ya ziwa maana kanda ya ziwa nimeshapiga sana kazi na ppm kwa sasa sio nzuri labda kwa kutumia gharama nyingi

3. PPM isiwe chini ya 5

Mwenye uelewa tujulishane, kwa mwenye eneo au duara na anauhakika wa mawe ya kutosha ninaweza kutoa karasha zaidi ya moja tupige kazi kwa asilimia

Nasubiri mirejesho karibuni.
Nenda chunya -mbeya.. fungua katasha subir watu walete mawe kusaga au kama ya uhakika unaweza dhamini gharama za chakula na vilipuzi kwa wachimbaji then wakitoa mzgo unakuja kusagwa karashan kwako, fasta tu unakuza mlima
 
Nilitaka nikupe chimbo moja la uhakika hapo kanda ya ziwa sema ndo hivo......
 
Nenda chunya -mbeya.. fungua katasha subir watu walete mawe kusaga au kama ya uhakika unaweza dhamini gharama za chakula na vilipuzi kwa wachimbaji then wakitoa mzgo unakuja kusagwa karashan kwako, fasta tu unakuza mlima
Kidhamini duara inahitaji usimamizizuri anyway ni wazo zuri lakini chunya ipi yenye ppm nzuri?
 
Nilitaka nikupe chimbo moja la uhakika hapo kanda ya ziwa sema ndo hivo......
Chimbo gani mkuu maana sikuizi naangukia pua sana kanda ya ziwa bahati mzuri tu bei ya dhahabu inatubeba, ppm ikoje na ni wapi?
 
Kidhamini duara inahitaji usimamizizuri anyway ni wazo zuri lakini chunya ipi yenye ppm nzuri?
Chunya n wilay ya madini hvyo machimbo n meng na ppm znatofautiana sasa cjui unatak mm nijue ppm za kila mahali hapo sio saw. Pia kaka huhitaj kudhamin fungua tu karasha wateja wapo
 
Back
Top Bottom