Habari zenu wapendwa, ninaomba mwenye uzoefu wa biashara ya dhahabu, kununua migodini na kuuza kwenye masonara, biashara ikoje na kwa kuanza mtaji mdogo kabisa n kiasi gani? Naomba mnisaidie japo maarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.