Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,632
- 1,773
Habari wana Jukwaa,
Kama kichwa kinavyoeleza, nafikiria kufungua biashara husika ila kabla ya kufungua nimeona nilete uzi jukwaani ili nipate maelekezo kutoka kwa watu wenye uzoefu na biashara hii, hasa ni vitu gani muhimu napaswa kuwanavyo kabla ya kuanza.
Natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyoeleza, nafikiria kufungua biashara husika ila kabla ya kufungua nimeona nilete uzi jukwaani ili nipate maelekezo kutoka kwa watu wenye uzoefu na biashara hii, hasa ni vitu gani muhimu napaswa kuwanavyo kabla ya kuanza.
Natanguliza shukrani.