Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu

Una wazo kama langu...lkn tatzo nlonalo n mtu wa kumkabidh biashara. Kwa sasa najipanga nkipata mtu namuachia duka acmamie, then nafungua biashara nyingne!

Tutafanikiwa tu ndugu
Maduka rejareja ndio yanayoendesha maisha yangu. Nikiwa kijana bado wa miaka 23. Ila Sasa nataka mwaka huu nifungue biashara tofauti na hii ambayo ninauzoefu nayo mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du
 
ila biashara ya duka la rejareja ina faida ndogo sana inahitaji uvumilivu na kukusanya hizo ngawira kidogo kidogo mpaka ujaze kibaba
 
Ulizingua.
 
Mkuu unaendeleaje na biashara yako?
 
5. Kuhonga
6. Mizinga kutoka kwa ndugu na jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…