Duka unaweza kuanza hata na laki 5....kkubwa n moyo na msimamo wa kulisimamia
Kwanza chunguza unapotaka kuweka biashara
Chunguza bidhaa adim...iweke
Chunguza pia kipato cha wateja wa hyo sehem(hii n kujua aina gan ya bidhaa zitatoka)
Chunguza washindan wako(wauza duka wenzio...mapungufu yao na ikiwezkana muda wanaofunga na kufungua)
Katika kipindi cha mwanzon angalia huduma ambzo zna faida...hii n kwa ajili ya kuleta mzunguko mzuri
Duka likisimama na kukua sasa ndipo utaweka na zile znazochukua mda mrefu kutoka
Just duka co mtaji wa kuanza nao....bali ni wew muuzaji...ht kama ukianza na billion 1 muuzaji ukiwa weak litafirisika ndan ya wiki
Just...
kama n bachelor weka mapenz pemben
Tumia lugha nzuri kwa wateja(usiseme kitu hakipo...sema kimekuishia...ahidi kuwa utaleta...ht km hutaleta)
Jenga mazoea na wateja ila yasizidi(mazoea kwenye biashara hupelekea mikopo)
Pia kaa mbali na wanawke hasa wake za watu(wengi huleta mazoea lkn jitahidi kuwaepuka.....hii ni sababu kuu ya maduka mengi kufa)
Epuka mikopo..(usikopeshe...na kama ukishndwa weka limit kuwa mwsho ni 500....na iwe kwa wateja waaminifu tu)
Huruma weka pemben..(binadam hua wana majaribu usiruhusu huruma ikutawale....hata kama waweza kmsaidia jizuie maan itakuponza)
Iheshim hela ya dukani....(ikitoka nje iwe n kama unarudisha chenji au unanunua bidhaa...usimpe mtu hela ya biashara ht km akisema ataleta baada ya dakika 2...binadam akiwa na shda huongea ahadi nyingi sana)
Mwisho napenda kusema kuwa hakuna biashara nzuri kama ile uloikuuza kwa mtaji mdogo...utaiheshim....utakuwa makini...na pia utaogopa kufirisika maana unajua hali ilivyo ukiwa umefirisika
Hpo gharama hasa ni frem...ila hapo kwenye duka ni wew mwenyew....!!mtaji wa kwanza kabisa ni wew....then hela inafuata....ila ni vema ukianza na mil.1...na tafuta frem ndogo ya wastan
Sent using
Jamii Forums mobile app