Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Sijui mie nimezowea kununua maduka ya wapemba
Na yana wateja
Prestige ni nzuri kuliko blueband

Wanapima kwenye kilo, unanunua ile ndoo unapima ina kilo ngapi unaangalia bei uliyonunulia kisha utaangalia utauzaje upate faida
Asante sana
Hapo kwenye blue band sijakuelewa, make kule umetaja unga wa prestige.
Mi najua kweli ile prestige ambayo tunapikia na nyingine tunapaka kwenye mikate.

Huo 'unga' unatumika kwa mapishi ya nini?
 
Asante sana
Hapo kwenye blue band sijakuelewa, make kule umetaja unga wa prestige.
Mi najua kweli ile prestige ambayo tunapikia na nyingine tunapaka kwenye mikate.

Huo 'unga@ unatumika kwa mapishi ya nini?

Mmmh aisee wewe, Sijui wapi nimesema unga wa prestige

Prestige ya kwenye kindoo cha lita kumi, wenye maduka huwa wanauza kwa kupima kwa kilo ama nusu ama robo kulingana na mahitaji ya mteja.

Maziwa ya unga ya cowboy, unanunua mfuko ule nadhani ni kg 25 unakuta unauza kwa kupima kwa kilo

Mimi Hornet nauza unga wa lishe tu, ndiyo bidhaa niliyoomba nimpelekee jamaa dukani kwake.
 
asante
 
Wadau kama kuna MTU analist ya spea za piki piki naombeni ninataji ili nikaanze ujasiriamali
 
Mkuu, naomba unitumie hii kwa email yangu..
Email nakutumia PM
 
Duka la rejareja faida yake ni ndogo mnooo,kwa mfano waweza uza laki tatu kwa mwezi ukapata faida 15000 tuu.Kwa mm ninavyoona fanya biashara ya kitu kimoja kingi uuze kwa jumla mfano viazi toka Mbeya to dar,au maharage na nafaka nyingine.
Kumbuka Mangi wa mjini wanajenga na kuendelea kwa biashara hii hii
 
Mleta mada umenikosha na mm nimefungua duka leo nina siku ya 7 na siku ya kwanza niliiza laki na Arobaini(140000) Ilinipa moyo sana ila kesho yake ikashuka mpk 50 trend inayoenda toka siku ya tatu na nne ni hyo 50,60 na 70 I hope mambo yatakua mazuri tuu bidhaa ulizoweka Almost nimeweka zote kasoro mafuta ya kupima pima. Nimekuzidi hapo gas nina gas za aina tatu mihan, oryx na O ga.

Kwa mitaa yetu Mihan inatoka vzr daily toka nifungue ninauza mtungi 1 hadi 2. Namshukuru Mungu aisee. Kwa sasa nashughulikia Line ya tigo na Mpesa. Jamani mm nimeona watu wamekua matajiri kwa biashara hii na tena wanakwambia uanze kwa mtaji mdogo uwe una ongeza bidhaa kadri ya mahitaji ya watu. So mtu akitaka kufanya kitu just mpe moyo na sio kuleta theories ambazo hata hujawai kufanyia practicals. Asante tena mleta mada umenipa moyo zaidi wa kupambana
 

Mrejesho mzuri huo...
 
bila shaka mkuu unatokea #KIGOMA hapo kwenye jojo umenikosha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…