Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Habari wandugu.
Naomba uzoefu wa kuendesha duka la kawaida. Linalouza bidhaa za majumbani kama chakula na vinywaji.
Milioni 2 wapendwa
Asante sana kwa ushauri.Unaposema huduma ziwe first class unamaanisha nini,naomba mwongozo kaka!Mteja awe mfalme,usikubali kupoteza mteja,huduma ziwe first class ili mteja arudi kwako na asiende kwingine
Mzee wa fitin nakushukuru sana kwa ushauri nitaufanyia kazi haraka!!!!!!!!!1.Bidhaa zenye ubora
2.Lugha nzuri
3.Ofa kwa wateja
4.Kufungua biashara mapema Na kuchelewa kufunga
5.Mtangulize MUNGU
6. Hakikisha mteja hakosi bidhaa mfano Sina chenchi, sina bidhaa Fulani hupoteza wateja. Badala yake komaa kutafuta chenchi pia kama bidhaa Fulani huna mwambie imeisha ila inakuja muda c mrefu itakuwepo