Biashara ya electronic devices ndogo ndogo

Biashara ya electronic devices ndogo ndogo

Habarin Wana jf .Mimi ni kijan wa miaka 22 ni mwanachuo nimekuja na wazo la kuanzia biashara ya devices ndogo ndogo za electronics kam scientific calculators,smart watch na airpods.... nilijarb kutembelea site ya alibaba nimeon zinauzwa bei nafuu Sana $1-$3 maximum for scientific calculators huku Tanzania ni unauza mpk $4.5 so nilikuw nahitaj mtu wa kusapotian nae kweny hili kweny marketing au tukawa business partners tunaweza anza kwa mtaji ata laki 2....Natanguliza shukran
Soko la scientific calculators ni dogo Sana. Utapata hasara, wewe unayeanza Maisha uza vitu vya anada au urembo bavyo ni rahisi kununulika. Hizo saa sawa,airpords sawa, stylist phone covers nk
 
Kabla hujaenda alibaba umewahi kwenda maduka ya jumla ya hivyo vitu kwa hapa Tanzaia?

Umejaribu kuuza ?

Unajua changamoto zake ni zipi na zipi?

Chukua ushauri huu acha kuruka hatua.

Tafuta suppliers kwa hapa Tanzania kama ni kariakoo kisha chukua mzigo kidogo, ukaone ugumu na urahisi wa soko, ukiona biashara ina uelekeo mzuri na inakua kwa kasi, ndio uanze kufikiria huko alimama sijui alibaba.

Kingine urahisi wa bei unapumbaza, hivyo vitu unavyoona vya dolar moja inategemea unamuuzia nani, kama unawazuia wanachuo wenzio lawama unatafuta, zile usb cables na chargers wanauza wamachinga nadhani unajua quality zao, na watu wanaowauzia ni wa njiani wapitaji, kikifa mtu kurudisha ni ngumu.
ni kweli kabisa most of the products huko alibaba huwezi jua vinatoka wapi na ubora wake. Ushauri mzuri mkuu. Na kupata wateja lazima uwe na products ambazo zina ubora wa hali ya juu na utaona wanarudi tena na tena. Aisee ushauri ni mzuri sana mkuu.
 
Back
Top Bottom