Biashara ya fedheha iliyonitoa kwenye umasikini

Huyu tangu atangaze anatafuta mtaalamu wa kompyuta ili watengeneze blockchain platform na atamlipa 350,000 kwa mwenzi ndio nikajua uelewa wako ni mdogo. Watu kama nyie JF inabidi isiwe sehemu ya amani kwenu mbaki ukouko IG.

Huyu hana hela lakini tambo kibao. Ningekuwa nina roho ya kitapeli nisingekuwa mjinga hivi. Kila uzi anakuwa anafanya kazi tofauti, leo kasema hoteli na magunia ila nyuzi nyingine anasema vitu tofauti labda kitu cha Fx ndio kinabaki. Wazazi wako kama wapo ni wa kulaumiwa, hawakulea mtu katika maadili wamekuza tapeli na inaonekana elimu yako ni ndogo.
 
Mkuu umekosa hata picha ya hotel yako, weka hata ya baa tuone maids tuje kukuungisha.... si unajua kivutio Cha baa ni wauzaji!
 
Nitumie basi buku 10 nifate njia za jamaa hapo nami ndani ya mwaka nije nimiliki hoteli jaman😂😂😂
Aki nakuahidi utakua unakula bure kila ukija
Yani buku 10 utegemee ikutoe😅 hio bora ukanunulie pedi tu na chupi mpya!

Chenga za mkaa zitakufanya uishie kuliwa kimasihara kwenye mageto ya wajuba!
 
Motivesheno spika huyo alishakuja na ngonjera za bitcoin akadai Forex haiamini leo hii anadai imemtoa kimaso maso
Hata kwenye umotivesheno spika bado hajakomaa. Huwezi tu ukakurupuka from nowhere eti Forex imekutajirisha. Anaijua Forex huyu? Mwaka wa tatu huu nahangaika nayo na nimesoma mavitabu ya kila aina na kuchukua madarasa ya wataalamu kabisa tena wa nje ya nchi lakini bado nikizubaa tu nakula za uso. Huyu jamaa tapeli!
 
Motivesheno spika huyo alishakuja na ngonjera za bitcoin akadai Forex haiamini leo hii anadai imemtoa kimaso maso


Jamaa muongo kweli halafu hata kumbukumbu hana[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ushaniwakilisha kuhoji.

Ahsante mh mjumbe!
 
Huyu ni ontorio aliyechangamka amezaliwa upya[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…