Nina mpango wa kuanzisha biashara ya fresh foods (samaki wabichi kama sato, sangara, migebuka na sea foods, kuku, nyama ya ng'ombe na mbuzi) Morogoro. Nataka iwe modern. Naomba wazoefu wa biashara hii wanipe mawazo, ujuzi, n.k. jinsi ya kufanya biashara hii. Asanteni wadau.