Wapendwa katika biashara, nataka kununua Fuso la kubeba Mizigo ya Mikoani. Sijawahi kufanya biashara yoyote ya kusafirisha mizigo wala ya magari aina yoyote. Ningependa kujua yafuatayo kutoka kwa watu wenye uzoefu na hii biashara;
1. Uchungu na utamu wa hii biashara.
2. Mambo ya kuzingatia katika kuendesha biashara hii.
3. Ni anina gani Fuso ambayo ndo ina faa kwa biashara ya aina hii.
4. Modification zinazotakiwa kufanyika kwenye gari mara baada ya kununua na wapi zinafanyika.
5. Wapi nitapata gari zuri/ website/link au kwa mtu anayeuza hapa hapa nchini.
6. Return on Investiment ikoje.
7. Mengineyo
Asante sana
iMind
1. Uchungu na utamu wa hii biashara.
2. Mambo ya kuzingatia katika kuendesha biashara hii.
3. Ni anina gani Fuso ambayo ndo ina faa kwa biashara ya aina hii.
4. Modification zinazotakiwa kufanyika kwenye gari mara baada ya kununua na wapi zinafanyika.
5. Wapi nitapata gari zuri/ website/link au kwa mtu anayeuza hapa hapa nchini.
6. Return on Investiment ikoje.
7. Mengineyo
Asante sana
iMind