Biashara ya Fuso La Mizigo

Biashara ya Fuso La Mizigo

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,039
Reaction score
4,889
Wapendwa katika biashara, nataka kununua Fuso la kubeba Mizigo ya Mikoani. Sijawahi kufanya biashara yoyote ya kusafirisha mizigo wala ya magari aina yoyote. Ningependa kujua yafuatayo kutoka kwa watu wenye uzoefu na hii biashara;
1. Uchungu na utamu wa hii biashara.
2. Mambo ya kuzingatia katika kuendesha biashara hii.
3. Ni anina gani Fuso ambayo ndo ina faa kwa biashara ya aina hii.
4. Modification zinazotakiwa kufanyika kwenye gari mara baada ya kununua na wapi zinafanyika.
5. Wapi nitapata gari zuri/ website/link au kwa mtu anayeuza hapa hapa nchini.
6. Return on Investiment ikoje.
7. Mengineyo

Asante sana
iMind
 
Wapendwa katika biashara, nataka kununua Fuso la kubeba Mizigo ya Mikoani. Sijawahi kufanya biashara yoyote ya kusafirisha mizigo wala ya magari aina yoyote. Ningependa kujua yafuatayo kutoka kwa watu wenye uzoefu na hii biashara;
1. Uchungu na utamu wa hii biashara.
2. Mambo ya kuzingatia katika kuendesha biashara hii.
3. Ni anina gani Fuso ambayo ndo ina faa kwa biashara ya aina hii.
4. Modification zinazotakiwa kufanyika kwenye gari mara baada ya kununua na wapi zinafanyika.
5. Wapi nitapata gari zuri/ website/link au kwa mtu anayeuza hapa hapa nchini.
6. Return on Investiment ikoje.
7. Mengineyo

Asante sana
iMind

Kaka na mimi nasubiri maelezo, kama kuna mtu kaku PM basi naomba na mimi hizo hints
 
TRANSPORTION nibishara nzuri.nayo inachangamoto zake.kwakuw unanua gari mpya changamoto itakuwa ndgo..
 
Mambo yakuzingatia ni service ya gari marakwa mara.unapoingiza usitumie yote weka akiba hujui nilin tatzo kubw itatokea
 
aina yafuso kwavile ulisema mikoani kupeleka mizigo,.unatakiwa ununue tandam fuso ndyo inaenda nawakat naipo kwenye kilo
 
Maeneo yakufanya modefication yapo mengi.we leta gari kwanza.hlo halina tatizo kabisa
 
Links nzuri yakupata gar nzuri embu waone hawahapa jf SOKWE pm him.anakampun yake japan nayy yuko huko.pia kun b4ward.
 
Return iko poa km gari nimpya nakumpata dereva au msimamiz mzuri.
 
ushaur tu mkuu..unaonaje ukanunua fuso yatipa ukawa unaletewa day?kuliko hzi z mikoan inakwend huko hujui kinachoendelea
 
ushaur tu mkuu..unaonaje ukanunua fuso yatipa ukawa unaletewa day?kuliko hzi z mikoan inakwend huko hujui kinachoendelea

Kaka hii ya tipper say ya Tan 3.5 mpaka 4, hesabu yake kwa Dar ni kiiasi gani?, zinapatikana wapi kwa bei angalau nafuu, dhani ziko si chini 30mil
 
Kwa sababu ni mara ya kwanza itabidi uwashirikishe madalali wa mizigo,hii itakuwa nafuu sana kwako kwani gari halitakosa mzigo asilani,ila kwa hawa madalali huwa wanapiga cha juu.kwa upande wako uwe makini kwenye mahesabu.kwa kawaida biashara ya gari inabidi irudishe gharama za manunuzi baada ya miezi kumi mpaka miezi 16.kabla ya kuagiza gari waone madalali utajua route gani itakulipa na kwa muda gani.
 
PATA USHAURI KWA WATAALAMU WA MAGURUDUMU,NA PIA KUWA MWANGALIFU KWENYE DIESEL AIDHA USIRUHUSU MCHUZI JUU.:nono:
 
Kama una presha achana na biashara ya magari ukimpigia dereva asipopatikana baati mbaya utaona shida yake au dereva akikupigia ukiwa umepumzika hata kama nia yake ilikuwA kukuambia jambo zuri unatetemeka mimi ilinitesa sana
 
Kama una presha achana na biashara ya magari ukimpigia dereva asipopatikana baati mbaya utaona shida yake au dereva akikupigia ukiwa umepumzika hata kama nia yake ilikuwA kukuambia jambo zuri unatetemeka mimi ilinitesa sana
Mkuu hii ni kama hujajiandaa kisaikolojia ku invest, especially kama hela zenyewe ndo zoooote uliingiza huko. Lakini tunaotaka kujaribu we take it easy. Unaingia kujaribu ukiwa na mawili, kupata au kupoteza. Nilishapoteza hela nyingi hadi nimezoea mkuu. after all nina alternative income.
 
Kwa sababu ni mara ya kwanza itabidi uwashirikishe madalali wa mizigo,hii itakuwa nafuu sana kwako kwani gari halitakosa mzigo asilani,ila kwa hawa madalali huwa wanapiga cha juu.kwa upande wako uwe makini kwenye mahesabu.kwa kawaida biashara ya gari inabidi irudishe gharama za manunuzi baada ya miezi kumi mpaka miezi 16.kabla ya kuagiza gari waone madalali utajua route gani itakulipa na kwa muda gani.
Asante kwa ushauri. Nitazingatia hilo. Je madalali wanakula kama Tsh ngapi? Na Dereva na Utingo unawalipaje?
 
biashara ya gari ni nzuri ila kinachotakiwa ni kufanya service kila muda unaotakiwa au unapotoka safari...kingine ni kuweka akiba ...ni vizuri uwe na fuso tandamn....kama unataka fuso wewe ni pm ntakupa dwals nzuri za fuso hapa hapabongo..bei reasonable kichizi
 
Wapendwa katika biashara, nataka kununua Fuso la kubeba Mizigo ya Mikoani. Sijawahi kufanya biashara yoyote ya kusafirisha mizigo wala ya magari aina yoyote. Ningependa kujua yafuatayo kutoka kwa watu wenye uzoefu na hii biashara;
1. Uchungu na utamu wa hii biashara.
2. Mambo ya kuzingatia katika kuendesha biashara hii.
3. Ni anina gani Fuso ambayo ndo ina faa kwa biashara ya aina hii.
4. Modification zinazotakiwa kufanyika kwenye gari mara baada ya kununua na wapi zinafanyika.
5. Wapi nitapata gari zuri/ website/link au kwa mtu anayeuza hapa hapa nchini.
6. Return on Investiment ikoje.
7. Mengineyo

Asante sana
iMind

All the best mkuu,lakini angalia wajanja wasije kukuuzia fuso la kubeba abiria badala ya mizigo.
 
asante kwa ushauri. Nitazingatia hilo. Je madalali wanakula kama tsh ngapi? Na dereva na utingo unawalipaje?
madalali wanakula 10%.gari mkabidhi dereva yeye mambo ya utingo yatakuwa ni juu yake,dereva hana mshahara unamlipa sh.50 kwa kilometer.pia mpe uhuru wa kutafuta mizigo awe kama dalali ili 10% apate yeye.halafu 50 sh kwa km unaiweka inakuwa ni ya emergency kwa ajili ya gari.
 
Back
Top Bottom