Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,454
Biashara kuuza genge ni biashara moja nzuri sana. Kinachofanya watu wengi wasifanikiwe ni ile kuwekeza mtaji mdogo sana.
Imagine mtu anaanzisha biashara ya genge kwa mtaji wa elfu 80 sasa mtu kama huyu kutoboa kwenye hii biashara ni ngumu.
Biashara yoyote ukitaka upate mafanikio usiifanye kwa kubahatisha wala kuogopa kupata hasara, kuogopa kupata hasara ndiyo hasara yenyewe hiyo.
Biashara ukiiweka katika muonekano wa kuvutia macho ya wateja ni rahisi sana kufanikiwa.
Ukiliweka genge lako kwa muonekano wa hali duni basi tegemea kupata wateja wa hali duni, ila ukiliweka kwa muonekano classic tegemea kupata wateja classic - wateja ambao kwa mara moja wanaweza hata kununua vitu vya elfu 50 kwa mkupuo.
Sasa cha msingi wekeza angalau mtaji wa laki 5, jenga genge katika muonekano wa kisasa; usijenga kakibanda tu ili mradi bidhaa zako zipate mahala pa kuhifadhiwa.
Imagine mtu anaanzisha biashara ya genge kwa mtaji wa elfu 80 sasa mtu kama huyu kutoboa kwenye hii biashara ni ngumu.
Biashara yoyote ukitaka upate mafanikio usiifanye kwa kubahatisha wala kuogopa kupata hasara, kuogopa kupata hasara ndiyo hasara yenyewe hiyo.
Biashara ukiiweka katika muonekano wa kuvutia macho ya wateja ni rahisi sana kufanikiwa.
Ukiliweka genge lako kwa muonekano wa hali duni basi tegemea kupata wateja wa hali duni, ila ukiliweka kwa muonekano classic tegemea kupata wateja classic - wateja ambao kwa mara moja wanaweza hata kununua vitu vya elfu 50 kwa mkupuo.
Sasa cha msingi wekeza angalau mtaji wa laki 5, jenga genge katika muonekano wa kisasa; usijenga kakibanda tu ili mradi bidhaa zako zipate mahala pa kuhifadhiwa.