Biashara ya GPS Tracking system installation kwenye vyombo vya Usafiri

Biashara ya GPS Tracking system installation kwenye vyombo vya Usafiri

KENGE 01

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
1,705
Reaction score
4,217
Na kenge,

Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani.

UTAFANYAJE?
Wizi wa vyombo ni tatizo kote duniani sasa kama ni Jobless na unatafta pakuanzia unaweza kutafta mtaji wa kuanzia LAKI 5 NA KUENDELEA.Kisha uagize vifaa hivi ni tudude tudogo ukiingia Alibana,Amazon utazikuta zipo aina nyingi vilevile kwa bei tofauti.Lakini kwakuanzia utanunua za kuanzia $35 kushuka chini.
images (9).jpeg

Sasa baada ya kuagiza Fungua ukurasa kwenye Social Media achana na umbea/Udaku anza kutafuta wateja wenye magari,Shawishi watu wenye magari ya usafiri wape elimu namna zinavyofanya kazi na umuhimu wa kufunga GPS hasa magari ya biashara.

UTAWAELEZA
~Kwanza kifaa kinaunganishwa na simu,Laptop n.k ili kupata taarifa ya chombo.
~Inaweza kujua gari lilipo muda wowote(Location)
~Inatoa taarifa ya mafuta,engine temprature n.k
~Nyingine zinauwezo wa kuzima gari hata kama lipo mbali(au limeibiwa)
images (10).jpeg

UTAJIONGEZA!
Sasa watu wengi hudhani GPS ni kwaajili ya magari na pikipiki tu lakini device hizi zinaweza kupachikwa kwenye TV,Laptop, na vifaa vingine vya kieletroniki kwahiyo kazi yako itakua ni kushawishi watu faida za kuweka GpS kwenye vifaa vyao.

CHANGAMOTO
Kama teknilojia inavyokua basi na Wezi wanaongeza mbinu za kivita hivyo baadhi ya Wezi wanatumia kifaa maalumu cha kudetect uwepo wa GPS kisha wanaitoa na kuitupilia mbali na chombo/gari linaibwa na hutolipata

Pia wengi huiweka sehemu moja(Kwenye AC) hii ni kwasababu ya kukosa maarifa kwaio wezi wabobezi wanajua GPS nyingi zinawekwa kwenye AC,ikumbukwe device hii inabidi ifichwe sehemu ambayo ni ngumu kuonekana kwenye gari,pikipiki n.k

MUHIMU!
Mambo ya kuzingatia ni angalau uelewe mambo ya wiring(Umeme wa magari) Pia uwe unajua kutumia smartphone aina zote utakutana na wateja wana iphone nawewe ushazoea Tecno,Infinix, UTAJIBEBA MBONA ,Nisikutishe tamaa ukishapachika GPS, App utazikuta playstore nyingi tu na Appstore vilevile kwaio uhitaji kuwa IT(japo ni muhimu kujua vifaa vinavyofanya kazi)

PLAN INAKUA HIVI
~Unamtaji wa 500k
~Ukiagiza device 10 au 20 za $50-$60
~Device moja utauza 150k na kama mteja atahitaji umfungie utatoza 30k ya ufundi jumla 180k mpaka 200k
~Ukipata wateja 5 mtaji utarudi na faida

NB:Biashara rahisi kuiongelea,ingia uone moto wake (Raha ya ngoma,Ingia uicheze)lakini penye nia,pana njia..

Wako mtiifu,
Balozi wa Jobless
KENGE 01

NAWASILISHA
 
Na kenge,

Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani.

UTAFANYAJE?
Wizi wa vyombo ni tatizo kote duniani sasa kama ni Jobless na unatafta pakuanzia unaweza kutafta mtaji wa kuanzia LAKI 5 NA KUENDELEA.Kisha uagize vifaa hivi ni tudude tudogo ukiingia Alibana,Amazon utazikuta zipo aina nyingi vilevile kwa bei tofauti.Lakini kwakuanzia utanunua za kuanzia $35 kushuka chini.
View attachment 2565506
Sasa baada ya kuagiza Fungua ukurasa kwenye Social Media achana na umbea/Udaku anza kutafuta wateja wenye magari,Shawishi watu wenye magari ya usafiri wape elimu namna zinavyofanya kazi na umuhimu wa kufunga GPS hasa magari ya biashara.

UTAWAELEZA
~Kwanza kifaa kinaunganishwa na simu,Laptop n.k ili kupata taarifa ya chombo.
~Inaweza kujua gari lilipo muda wowote(Location)
~Inatoa taarifa ya mafuta,engine temprature n.k
~Nyingine zinauwezo wa kuzima gari hata kama lipo mbali(au limeibiwa)
View attachment 2565520
UTAJIONGEZA!
Sasa watu wengi hudhani GPS ni kwaajili ya magari na pikipiki tu lakini device hizi zinaweza kupachikwa kwenye TV,Laptop, na vifaa vingine vya kieletroniki kwahiyo kazi yako itakua ni kushawishi watu faida za kuweka GpS kwenye vifaa vyao.

CHANGAMOTO
Kama teknilojia inavyokua basi na Wezi wanaongeza mbinu za kivita hivyo baadhi ya Wezi wanatumia kifaa maalumu cha kudetect uwepo wa GPS kisha wanaitoa na kuitupilia mbali na chombo/gari linaibwa na hutolipata

Pia wengi huiweka sehemu moja(Kwenye AC) hii ni kwasababu ya kukosa maarifa kwaio wezi wabobezi wanajua GPS nyingi zinawekwa kwenye AC,ikumbukwe device hii inabidi ifichwe sehemu ambayo ni ngumu kuonekana kwenye gari,pikipiki n.k

MUHIMU!
Mambo ya kuzingatia ni angalau uelewe mambo ya wiring(Umeme wa magari) Pia uwe unajua kutumia smartphone aina zote utakutana na wateja wana iphone nawewe ushazoea Tecno,Infinix, UTAJIBEBA MBONA ,Nisikutishe tamaa ukishapachika GPS, App utazikuta playstore nyingi tu na Appstore vilevile kwaio uhitaji kuwa IT(japo ni muhimu kujua vifaa vinavyofanya kazi)

PLAN INAKUA HIVI
~Unamtaji wa 500k
~Ukiagiza device 10 au 20 za $50-$60
~Device moja utauza 150k na kama mteja atahitaji umfungie utatoza 30k ya ufundi jumla 180k mpaka 200k
~Ukipata wateja 5 mtaji utarudi na faida

NB:Biashara rahisi kuiongelea,ingia uone moto wake (Raha ya ngoma,Ingia uicheze)lakini penye nia,pana njia..

Wako mtiifu,
Balozi wa Jobless
KENGE 01

NAWASILISHA

ngoja nijaribu kufunga kwenye toyo langu kwanza [emoji16]
 
Na kenge,

Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani.

UTAFANYAJE?
Wizi wa vyombo ni tatizo kote duniani sasa kama ni Jobless na unatafta pakuanzia unaweza kutafta mtaji wa kuanzia LAKI 5 NA KUENDELEA.Kisha uagize vifaa hivi ni tudude tudogo ukiingia Alibana,Amazon utazikuta zipo aina nyingi vilevile kwa bei tofauti.Lakini kwakuanzia utanunua za kuanzia $35 kushuka chini.
View attachment 2565506
Sasa baada ya kuagiza Fungua ukurasa kwenye Social Media achana na umbea/Udaku anza kutafuta wateja wenye magari,Shawishi watu wenye magari ya usafiri wape elimu namna zinavyofanya kazi na umuhimu wa kufunga GPS hasa magari ya biashara.

UTAWAELEZA
~Kwanza kifaa kinaunganishwa na simu,Laptop n.k ili kupata taarifa ya chombo.
~Inaweza kujua gari lilipo muda wowote(Location)
~Inatoa taarifa ya mafuta,engine temprature n.k
~Nyingine zinauwezo wa kuzima gari hata kama lipo mbali(au limeibiwa)
View attachment 2565520
UTAJIONGEZA!
Sasa watu wengi hudhani GPS ni kwaajili ya magari na pikipiki tu lakini device hizi zinaweza kupachikwa kwenye TV,Laptop, na vifaa vingine vya kieletroniki kwahiyo kazi yako itakua ni kushawishi watu faida za kuweka GpS kwenye vifaa vyao.

CHANGAMOTO
Kama teknilojia inavyokua basi na Wezi wanaongeza mbinu za kivita hivyo baadhi ya Wezi wanatumia kifaa maalumu cha kudetect uwepo wa GPS kisha wanaitoa na kuitupilia mbali na chombo/gari linaibwa na hutolipata

Pia wengi huiweka sehemu moja(Kwenye AC) hii ni kwasababu ya kukosa maarifa kwaio wezi wabobezi wanajua GPS nyingi zinawekwa kwenye AC,ikumbukwe device hii inabidi ifichwe sehemu ambayo ni ngumu kuonekana kwenye gari,pikipiki n.k

MUHIMU!
Mambo ya kuzingatia ni angalau uelewe mambo ya wiring(Umeme wa magari) Pia uwe unajua kutumia smartphone aina zote utakutana na wateja wana iphone nawewe ushazoea Tecno,Infinix, UTAJIBEBA MBONA ,Nisikutishe tamaa ukishapachika GPS, App utazikuta playstore nyingi tu na Appstore vilevile kwaio uhitaji kuwa IT(japo ni muhimu kujua vifaa vinavyofanya kazi)

PLAN INAKUA HIVI
~Unamtaji wa 500k
~Ukiagiza device 10 au 20 za $50-$60
~Device moja utauza 150k na kama mteja atahitaji umfungie utatoza 30k ya ufundi jumla 180k mpaka 200k
~Ukipata wateja 5 mtaji utarudi na faida

NB:Biashara rahisi kuiongelea,ingia uone moto wake (Raha ya ngoma,Ingia uicheze)lakini penye nia,pana njia..

Wako mtiifu,
Balozi wa Jobless
KENGE 01

NAWASILISHA
Mtu mpaka akuamini ufunge kwenye gari lake ni kipengele
 
Na kenge,

Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani.

UTAFANYAJE?
Wizi wa vyombo ni tatizo kote duniani sasa kama ni Jobless na unatafta pakuanzia unaweza kutafta mtaji wa kuanzia LAKI 5 NA KUENDELEA.Kisha uagize vifaa hivi ni tudude tudogo ukiingia Alibana,Amazon utazikuta zipo aina nyingi vilevile kwa bei tofauti.Lakini kwakuanzia utanunua za kuanzia $35 kushuka chini.
View attachment 2565506
Sasa baada ya kuagiza Fungua ukurasa kwenye Social Media achana na umbea/Udaku anza kutafuta wateja wenye magari,Shawishi watu wenye magari ya usafiri wape elimu namna zinavyofanya kazi na umuhimu wa kufunga GPS hasa magari ya biashara.

UTAWAELEZA
~Kwanza kifaa kinaunganishwa na simu,Laptop n.k ili kupata taarifa ya chombo.
~Inaweza kujua gari lilipo muda wowote(Location)
~Inatoa taarifa ya mafuta,engine temprature n.k
~Nyingine zinauwezo wa kuzima gari hata kama lipo mbali(au limeibiwa)
View attachment 2565520
UTAJIONGEZA!
Sasa watu wengi hudhani GPS ni kwaajili ya magari na pikipiki tu lakini device hizi zinaweza kupachikwa kwenye TV,Laptop, na vifaa vingine vya kieletroniki kwahiyo kazi yako itakua ni kushawishi watu faida za kuweka GpS kwenye vifaa vyao.

CHANGAMOTO
Kama teknilojia inavyokua basi na Wezi wanaongeza mbinu za kivita hivyo baadhi ya Wezi wanatumia kifaa maalumu cha kudetect uwepo wa GPS kisha wanaitoa na kuitupilia mbali na chombo/gari linaibwa na hutolipata

Pia wengi huiweka sehemu moja(Kwenye AC) hii ni kwasababu ya kukosa maarifa kwaio wezi wabobezi wanajua GPS nyingi zinawekwa kwenye AC,ikumbukwe device hii inabidi ifichwe sehemu ambayo ni ngumu kuonekana kwenye gari,pikipiki n.k

MUHIMU!
Mambo ya kuzingatia ni angalau uelewe mambo ya wiring(Umeme wa magari) Pia uwe unajua kutumia smartphone aina zote utakutana na wateja wana iphone nawewe ushazoea Tecno,Infinix, UTAJIBEBA MBONA ,Nisikutishe tamaa ukishapachika GPS, App utazikuta playstore nyingi tu na Appstore vilevile kwaio uhitaji kuwa IT(japo ni muhimu kujua vifaa vinavyofanya kazi)

PLAN INAKUA HIVI
~Unamtaji wa 500k
~Ukiagiza device 10 au 20 za $50-$60
~Device moja utauza 150k na kama mteja atahitaji umfungie utatoza 30k ya ufundi jumla 180k mpaka 200k
~Ukipata wateja 5 mtaji utarudi na faida

NB:Biashara rahisi kuiongelea,ingia uone moto wake (Raha ya ngoma,Ingia uicheze)lakini penye nia,pana njia..

Wako mtiifu,
Balozi wa Jobless
KENGE 01

NAWASILISHA

Penye nia pana njia
 
Back
Top Bottom