Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Wakuu, kila mtu atasalimiwa kwake,
Wakuu, nataraji kuanzisha hio biashara tajwa kwa mtaji huo hapo juu (13M) hadi kodi ipo humo humo,
Kwa kuanzia nataka nianze na vitu vidogo vidogo sana sana electricals na vitu vikubwa vya sample tu,
Eneo la biashara ni kibaha, nataka niiweke hio biashara,
Lengo nataka niwe nakunja japo 3M as profit ili niweze panua biashara,
Vipi wakuu natoboa au,
Kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ya hardware
Wakuu, nataraji kuanzisha hio biashara tajwa kwa mtaji huo hapo juu (13M) hadi kodi ipo humo humo,
Kwa kuanzia nataka nianze na vitu vidogo vidogo sana sana electricals na vitu vikubwa vya sample tu,
Eneo la biashara ni kibaha, nataka niiweke hio biashara,
Lengo nataka niwe nakunja japo 3M as profit ili niweze panua biashara,
Vipi wakuu natoboa au,
Kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ya hardware