Biashara ya Hiace bado inalipa Songea

.makambako hakuna hiace kwanini?
Zipo za makambako ilembula na makambako to igwachanya ,makambako kitandililo na makambako to njombe na utambue makambako ni tambarare bajaji zinaingia Kila Kona hadi km 30 na Kuna bajaji za kutosha ni sawa na mji wa kahama na zingatia ni miji ya biashara watu wanataka kwenda chapu sio kuwekwa stendiMAKAMBAKO TCKahama mc
 

Attachments

  • FB_IMG_16728517915595809.jpg
    46.9 KB · Views: 7
Zinaishia msamala
Bado songea idadi ya bajaji ni ndogo subir ziongezeke ndo utajua kwa Nini watu saiz hiace wanaamua ziende nje ya mji kama zimeathiri majiji makubwa sembuse songea sema kwa sababu nature ya songea ni milima na mabonde kama ilivyo njombe mjini lazima idadi itakuwa ndogoSONGEA MCNJOMBE
 
Upo sahihi sana ila songea itachelewa sana kufa hiace.
 
Upo sahihi sana ila songea itachelewa sana kufa hiace.
Makambako wamejiongeza daladala zimewekewa miji ya pembe zoni kama njombe ,mtwango ,ilembula ,igwachanya na kitandililo ukija kati ni mwendo wa bajaji za kuzidi uzuri wa makambako tayari makazi yanakamatana na vimiji vya pembeni kama ilembula, mtwango, igwachanya na kitandililo
 

Mwanza wameshindwa kuondoa hiace
 
Ukiona coaster mara nying safari inakuwa ndefu
 
Wasalimie Utwango karibu na Namabengo..
 
Uko vyema.
Nafikiria sana Songea...Namtumbo....manake kuna vimiji njiani kama Namabengo....Litola...Lumecha..n.k....yaani mpaka Likuyuuu.
 
Uko na roho nzuri sana...Tukiwa watz asilimia 45 kama wewe nchi itasogea sana
 
Duh hv ilembula ishaungana na makambako! Basi miji inakuwa kwa kasi
 
Duh hv ilembula ishaungana na makambako! Basi miji inakuwa kwa kasi
YAp yalibaki maeneo kama mwili ambayo yalikuwa wazi now yote wamepima na kuwekeza shule viwanda vya kusindika mazao nk mji unakimbia Ukienda mtwango hapo ni makazi yameshamiri pote toka makambako hadi mtwango ndo maana mkoa wa njombe umeamua lile eneo la makambako liwe la viwanda na biasharaIlembula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…