Biashara ya hisa Tanzania, faida inapatikana?

Biashara ya hisa Tanzania, faida inapatikana?

Hisa ni investment sio dairy income Business, muwekezaji Nzuri ni anayewekeza kwa malengo ya 5 years-10 years na zaidi.

Ili ufanikiwe kutengeneza utajiri kwenye Hisa usiwekeze kwenye Giant Company fanya research ya Startup company ambayo kwa prediction itakuja kuwa Giant baadae hizi Startup za nje ya nchi ndio Nzuri zaidi chukua Hisa leo kwenye Startup Hold for 5-10 years ikija kuwa Giant miaka 8 baadae inakuwa na wewe ila ufanye upembuzi yakinifu kupata determined Startup watu wa investment na technology wanaweza kukujuza.
Lakini pia niliambiwa kuna start up companies zinaanza na kufa kabisa, nikaambiwa niangalie stable companies zinazoendelea, kuna kampuni direction yake ni vague hivyo ni ngumu kujua zinakua au zinakufa, sasa wewe unashauri start up.

Nilipewa mfano wa hisa za NICOL ya Mzee Mushi, nikaishiwa nguvu.

Wengine wanasema start up campanies ni kichomi, ni ngumu kueleweka. Wakashauri TTC, Breweries na CRDB kuwa hao ni wakongwe, nini sasa cha kufanya.

Nazidi kuchanganyikiwa na hii biashara ya hisa.
 
Lakini pia niliambiwa kuna start up companies zinaanza na kufa kabisa, nikaambiwa niangalie stable companies zinazoendelea, kuna kampuni direction yake ni vague hivyo ni ngumu kujua zinakua au zinakufa, sasa wewe unashauri start up.

Nilipewa mfano wa hisa za NICOL ya Mzee Mushi, nikaishiwa nguvu.

Wengine wanasema start up campanies ni kichomi, ni ngumu kueleweka. Wakashauri TTC, Breweries na CRDB kuwa hao ni wakongwe, nini sasa cha kufanya.

Nazidi kuchanganyikiwa na hii biashara ya hisa.
Sasa unategemea Goal yako kubwa nini kwangu kuwekeza Hisa naichulia Investment itayonipa utajiri baadae sio itayonipa daily income, sina shida ya pesa ya kilasiku hiyo ni kazi ya Biashara.

Kitu cha kwanza nitachofanya kabla sijafanikiwa kokote kwenye Biashara return kadhaa nitaweka kwenye Startup ili nikimbizane na muda then nita-Hold miaka 10 huku niendelea na Business zingine sio guarantee kufanikiwa ika ukifanikiwa Hisa inapanuka sana maana gawio au uthamani wa Hisa kupanda inatehemea na Divide kwa kampuni mdogo kuna Divide Nzuri maana wanashida na pesa yako kweli wakue.

Ila kama target kupata magawaio nini chukua Giant.
 
Gawio lipo ila ni kidogo sana mpaka unaogopa mtu anaweka karbu milioni anapata gawio hata laki haifki
Hivi kuna taasisi inasimamia corporate securities na pia kukagua hesabu za haya makampuni kujua ni kiasi gani walipaswa kutoa kama dividend au board directors ndio huamua.
 
Sasa unategemea Goal yako kubwa nini kwangu kuwekeza Hisa naichulia Investment itayonipa utajiri baadae sio itayonipa daily income, sina shida ya pesa ya kilasiku hiyo ni kazi ya Biashara.

Kitu cha kwanza nitachofanya kabla sijafanikiwa kokote kwenye Biashara return kadhaa nitaweka kwenye Startup ili nikimbizane na muda then nita-Hold miaka 10 huku niendelea na Business zingine sio guarantee kufanikiwa ika ukifanikiwa Hisa inapanuka sana maana gawio au uthamani wa Hisa kupanda inatehemea na Divide kwa kampuni mdogo kuna Divide Nzuri maana wanashida na pesa yako kweli wakue.

Ila kama target kupata magawaio nini chukua Giant.
Nitajaribu kuufanyia kazi ushauri wako.
 
Hivi kuna taasisi inasimamia corporate securities na pia kukagua hesabu za haya makampuni kujua ni kiasi gani walipaswa kutoa kama dividend au board directors ndio huamua.

Board of directors ndio wanamamlaka kutoka na faida ambayo kampuni imeipata.
 
Watu wanaofanikiwa na uwekezaji katika soko la mitaji ni wale wanaoweka pesa zao katika makampuni kwa njia za private ownership ya mtaji sio ile ya public sale ya hisa.....

Tazama makampuni mama kama ya bima, mabenki kama CRDB, kuna hoteli, majengo ya ofisi na kadhalika. Hizo biashara kama unakuta mtaji ni kwa mfano milioni 500, wale watakaochangia mtaji humo ndio watakaobenefit direct sababu kwanza wapo wachache, wameweka pesa nyingi na wanakuwa na market share kubwa kwa biashara yao.

But kwa Tanzania ukiona kampuni zetu hizi kubwa zimeweka rehani mauzo ya hisa... Mmmmmmmmhmn kaa chonjo. Sababu wanasiasa wetu ni wabinafsi sana kuwapa raia wanaowaongoza fursa ya kupata utajiri. Pesa za ukweli wanapiga wao ila ubabaishaji ndio ninyi mtaletewa mnaotaka kugamble na pesa zenu.

So kuwa makini sana na soko la hisa.... Na wapi unapeleka hela zako.... Utapata sio kwamba utakosa kabisa ila usitegemee kupata pesa ya kukutoa kimaisha.
 
Watu wanaofanikiwa na uwekezaji katika soko la mitaji ni wale wanaoweka pesa zao katika makampuni kwa njia za private ownership ya mtaji sio ile ya public sale ya hisa.....

Tazama makampuni mama kama ya bima, mabenki kama CRDB, kuna hoteli, majengo ya ofisi na kadhalika. Hizo biashara kama unakuta mtaji ni kwa mfano milioni 500, wale watakaochangia mtaji humo ndio watakaobenefit direct sababu kwanza wapo wachache, wameweka pesa nyingi na wanakuwa na market share kubwa kwa biashara yao.

But kwa Tanzania ukiona kampuni zetu hizi kubwa zimeweka rehani mauzo ya hisa... Mmmmmmmmhmn kaa chonjo. Sababu wanasiasa wetu ni wabinafsi sana kuwapa raia wanaowaongoza fursa ya kupata utajiri. Pesa za ukweli wanapiga wao ila ubabaishaji ndio ninyi mtaletewa mnaotaka kugamble na pesa zenu.

So kuwa makini sana na soko la hisa.... Na wapi unapeleka hela zako.... Utapata sio kwamba utakosa kabisa ila usitegemee kupata pesa ya kukutoa kimaisha.
Wewe ndiye unesema vizuri, sasa hili nami niwekeze kule mwanzo nafanyaje?!
 
Subira hii unayoiongelea ni muda gani 5 au 10 years au usubiri tu?! Kama zanashuka hadi kuwa bailed na serikali, kwanini ni ninunue, faida itapatikani lini, serikali wanapo bail out au wakati gani?!

Umewahi kupata dividend tangu uanze au umewahi kuuza hisa zikakupa faida?!
Mi naona kama mchezo wa kubahatisha tu.

Ni jinsi gani naweza kununua Bonds za makampuni badala ya hisa?
Kikubwa hapo usinunue hisa ili uje uziuze... hapo ndo inakua mchezo wa kubahatisha... Shares utamu wake ni Dividend/gawio ambalo unapewa mara moja au mbili kwa mwaka kulingana sasa na value ya hisa 1 katika kipindi hicho
 
Back
Top Bottom