Biashara ya hisa

Biashara ya hisa

heavyload

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
920
Reaction score
526
Wakuu naomba kwa anayefahamu vizuri juu ya biashara ya hisa anijuze juu ya faida na hasara zake na jinsi ya kununua na kuuza.NB je makampuni ya cm nayo yamekwisha orodheshwa kwenye soko la hisa la Dar?
 
Back
Top Bottom