pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 239
- 221
Wakuu mwenye mawazo jengefu ya namna ya kufungua ofisi ya kutoa huduma za internet na photocopy, eneo la DSM.
1. Naomba kujua ni vifaa gani ninapaswa kua navyo?
2. Changamoto za biashara hio
3. Mkadirio wa Mtaji kwa biashara kiwango cha Kati. Na mengineyo nisio yafaham.
Asanteni Sana.
1. Naomba kujua ni vifaa gani ninapaswa kua navyo?
2. Changamoto za biashara hio
3. Mkadirio wa Mtaji kwa biashara kiwango cha Kati. Na mengineyo nisio yafaham.
Asanteni Sana.