Biashara ya Internet mtaani

Biashara ya Internet mtaani

Hapo kwenye router+wire+pc, inamaanisha utakuwa na router mbili; yaani ya vodacom kama ISP na ya tp-link kwaajili ya ku control trafic? Ufafanuzi tafadhali.
Asante.
Alafu mbona VODA tuuu kwani AIRTEL nae vipi si anazile router za 5G mbona haziongelewi hapa wakuu
 
Mmnl

Nilianza WiFi business Yakuuza mtaani na 370k bas inawezekana niuli

Sasa

Ukitaka kufanya biashara ya WiFi tumia WiFi management system+vifaa + location nzur hapo umeua
Mkuu habari namba yako uliyotoa ya WhatsApp haipatikani nimejitahidi sana hauko hewani.
Vile vile PM nashindwa kukufikia tunafanyaje!?
 
Back
Top Bottom