Biashara ya jezi za Simba kwa msimu huu huwenda zikakwama kwenye marketing

Simba ni wa kuhurumiwa tu
 
Huyo ni MO aliyejifi ha kwenye makwapa ya vunja bei.
 
Nonsense.
 
Tatizo la kuamini manara ndiye anayeweza..
Vipi mkuu umesikilizia mzigo wa mnyama?
 
soma hapo jezi ikivuja nihasara kwa Fred bro View attachment 1922236
Hasara kama utachelewa kuzitoa, hii ya simba haijawa na madhara sababu baada ya kuvuja tu wakaachia mzigo hivyo mzigo genuine ndio umeingia sokoni...ma wakati 'wachina' wanapambana kutengeneza za kufyatua mzigo mkubwa ushaingia sokoni...
 
Aibu yako aibu ya Utopolo wooote
Your browser is not able to display this video.
 

Ungefanya hata hesabu ndogo tu ya kuzidisha, then ungeona ni namna gani ulivyoaandika utopolo!
Zikiuzwa jersey 80,000 tu kwa msimu mmoja pesa yote 2b inarudi!
Hebu chukulia bei ya ni 25,000/= kutoka kwenye kiwanda huko zilipotengenezwa!
Then fanya 25,000x80,000=2,000,000,000
Hapo ni ndani ya msimu mmoja tu, but jersey ukiacha za watoto bei ni zaidi ya 25k na tayari hadi kufikia hivi sasa zaidi 50k jersey zimeshauzwa acha vikorombweze vingine, kofia na jersey za watoto! Kwenye CAF bado jersey zitauzika tena ukiachilia mbali msimu ujao bado ataendelea na atafanya balaa sana!
Matarajio ya wengi wanadhani Fred atapata hasara kwa hiyo 2b anayotoa kwa miaka miwili lakini kiuhalisia jamaa aliona mbali na hesabu tayari alikwisha zifanya akaona return kwake si chini ya 6b kwa hiyo miaka miwili!
 
Tatizo la kuamini manara ndiye anayeweza..
Vipi mkuu umesikilizia mzigo wa mnyama?

Sasa hivi wimbo wa kuvuja wameuacha,wakitaka kukosoa jezi wanashindwa wamebaki hapo kati kati[emoji3][emoji3]
 
Mleta uzi vipi unaendeleaje huko?
 

Kwa mwitikio huu,mwaka kesho akiwa anamalizia mkataba huu wa sasa,atapambana zaidi wamuongezee mkataba.Freddy ile bn 2 anairudisha yote msimu huu au kama itapungua ni kidogo sana.Next Season anatengeneza faida tu kuanzia kuuza jezi ya kwanza.

Nimemsikia kwa Kitenge TV anasema bado kuna mzigo mwingine unakuja wa Hoods na masweta,nguo za vijana za hata mtu anaweza vaa na akaenda Club.Vyote hivi atatengeneza pesa.Sitoshangaa GSM atakimbilia na yeye China akatengeneze japo kofia
 
Mkuu, toka lini jezi zenye majina zinauzwa bongo?
Bongo jezi nyingi ni plain. Wanasimba wananua jezi kutokana na mapenzi yao kwa team,
Jamaa anadhani jezi zinazouzwa zina majina ya wachezaji.

Nadhani hajawahi kununua jezi za timu za bongo.
 
Mkuu sioni kama itapungua..sana sana Simba tunaweza kujilaumu pesa tuliyoweka ni ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…