Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman naomba mnisaidie hivi biashara ya baa inafanyikajee.g mtaji wake,kuliteka soko,faida inapatikana vipi,na chochote nnachoweza kufanya niweze kuliteka soko.Nimesikia hii biashara inalipa sana.
mkuu jaribu kuulizia maeneo ya baa itakusaidia kwa urahisi zaidi kama sikosei ni 5000 au 10000 per day..
Kama ni mwenyeji wa Moshi au sio naomba ufike pale UHURU Hostel............aise wan jiko la mfano kwa hii biashara na ninao mpango wa kuwasaka wabunifu hwa wanijengee nami sehemu 3 tofauti hapa nchini............nakushauri nawe ufike pale.............hii kitu inalipa hakuna binadamua asiyeheitaji chakula.........na wengi wetu afrika nyama ni sehemu ya mlo wetu wa kila siku!
mkuu, pale uhuru hostel wameiga design ya Carnivore Nairobi, ni bomba sana
title na context zimenichanganya. Kwa bar ukitaka ilipe kwanza location na mazingira mazuri, usalama kwa mteja, huduma ya chakula na quality ya chakula + wahudumu. Anyway sorry kama nitakukwaza lkn ndio ukweli wenyewe .. Tafuta wahudumu wa kike wenye maumbile mazuri manene ili kuwavuta wateja na pia ili ilipe zaidi weka vyumba vitatu vya kupumzikia bei ni kwa saa, kwa huduma ya vyumba itakupa zaidi ya 30,000/= per day