kambakoch aliye hai ndio anapendwa sana china. unahitaji uwe na mitambo mizuri ya kuwaanda kable ya kuwasafirisha, pili inabidi uwe na vibali vyote vya kusafirisha na uwe makini kwenye kuchagua shirika la ndege la kuwasafirisha maana wakikaa sana wakapata joto wanaanza kufa. kwa upande wa bei kwa mara ya mwisho mwaka 2012 ilikuwa inafika CIF shanghai around 35$/kg. ugumu unakuja ni kwenye uhakika waa kuwapata. unaweza kukubaliana na wavuvi wakasema watakuwa wanakupa mzigo wa kutosha ila ukishaanza biashara wanaanza kiswahili. kila laheri