Wadau natamani kuanzisha biashara ya kitimoto mji wa kitalii znz je walio wazoefu nijuzeni inalipa?
Kwa sababu husipate hasara ambayo tayari inaonekana waziwaziKwa nini nifanye biashara halali kwa kificho?
zenji kitimoto kipo, kuna bar flan ipo maeneo ya mbweni, panaitwa kwa mama janet.. ila jins sehem ilivyo ni nyuma ya bar imekaa dizain kifichoni hiv... hata bar yenyewe imejificha sio kama huku bara bar zipo waziwazi...
Nguruwe ni haramu hata kwako mkristo. Shida ni kwamba ukishaikosa neema ya uislamu hutakuja kuona jambo lolote duniani ni haramu linapokuja suala la kutafuta kipato. Mikopo ya (mkombozi) benki (riba), Premier betting (kamari), bar (pombe), kitimoto n.k vyote vinakuwa halali kwako.Kwa nini nifanye biashara halali kwa kificho?
Nguruwe ni haramu hata kwako mkristo. Shida ni kwamba ukishaikosa neema ya uislamu hutakuja kuona jambo lolote duniani ni haramu linapokuja suala la kutafuta kipato. Mikopo ya (mkombozi) benki (riba), Premier betting (kamari), bar (pombe), kitimoto n.k vyote vinakuwa halali kwako.
kwa sababu husipate hasara ambayo tayari inaonekana waziwazi