Biashara ya korosho

Tatizo hapo umemtaja magufuli

Sema kwa miaka 2 mfulilizo bei iko vizuri ya korosho

Hapa unaweza sema tangia magufuli angia madarakani mbaazi imeshuka bei hajawahi tokea
 
Hiyo elfu 20 kwa mkulima?? mimi nikinunua elfu 20 kilo nitauza bei gani jamani.
Kama unataka upate faidi ambayo infinity. Nunuwa korosho ambazo hazijabanguliwa kilo1 sh 2500/.Alafu wewe unazifanyia processing processing na kuziuza.Utauza kwa bei ya sh 20000/ per kg.
Mimi ndo ujanja ninaoutumia ukiacha kulima korosho,yaani nanunuwa kwa wakulima korosho alafu nabangulisha kwa wajasilimali wadogo alafu nauza
 
Andika vizuri wewe kilaza
 
Tatizo hapo umemtaja magufuli

Sema kwa miaka 2 mfulilizo bei iko vizuri ya korosho

Hapa unaweza sema tangia magufuli angia madarakani mbaazi imeshuka bei hajawahi tokea
Katika andiko hili umeona hapo tu.Note Huku kusini magufuli amekuwa shujaa sana kwa kuwa bei imekuwa nzuri
 
Na wanapatikana huko huko Mtwara hao wajasiliamali wadogo wadogo.... nipo Dar ila nimekua curious sana na hii biashara ya Korosho, Jumatano Mungu akijaalia naenda Mtwara je wewe upo huko kwa msaada zaidi??
I'm serious Bro.
 
Na wanapatikana huko huko Mtwara hao wajasiliamali wadogo wadogo.... nipo Dar ila nimekua curious sana na hii biashara ya Korosho, Jumatano Mungu akijaalia naenda Mtwara je wewe upo huko kwa msaada zaidi??
I'm serious Bro.
Ndio wanapatikana hao wajasiriamali.
Karibu sana mi bado nipo mtwara.
Kama unahitaji ku buy korosho make sure unatenga muda wa kutosha ili kwenda vijiji ambavyo korosho zinauzwa kwa bei nafuu kidogo ili uliuza upate return nzuri.
 
Ndio wanapatikana hao wajasiriamali.
Karibu sana mi bado nipo mtwara.
Kama unahitaji ku buy korosho make sure unatenga muda wa kutosha ili kwenda vijiji ambavyo korosho zinauzwa kwa bei nafuu kidogo ili uliuza upate return nzuri.
Wow!!! nimependa sana ushirikiano wako, plz naomba nikutafute kama hutojali.
Muda ninao maana nia pia ninayo.
 
Raisi hajapandisha bei, suala ni ushindani uliongezeka na pia ubora wa korosho pamoja kupungua kwa uzalishaji maeneo mengine kumechangia
 

Mkuu hizo tani 5 ulizipata kwa idadi ngapi ya mikorosho !??
 
Unajuwa zao la korosho limeanza kulimwa lina zaidi ya miaka zaidi ya 70+ lakini bei yake haijawahi kufika hata 2500.Yaani miaka yote hilo zao katika soko la dunia limepanda mwaka huu?
Sasa cha ajabu nini? Kwani dunia inarudi nyuma au inakwenda mbele unataka bei ya 1980 iwe mpaka leo? Swali hili utanijibu baadaye embu jibu lile la mwanzo kuhusu Mbaazi..!
 
Hizo hesabu munatoa za kwenye vikitabu
Mwaka wapili ninahudumia mikoro 98 ,nacheza na kilo 700-800.
Hapo nawashirikisha maofsa ugani kila hatua
.
Sasa hizo hesabu niza mikorosho mikubwa kiasigani
 
Hizo hesabu munatoa za kwenye vikitabu
Mwaka wapili ninahudumia mikoro 98 ,nacheza na kilo 700-800.
Hapo nawashirikisha maofsa ugani kila hatua
.
Sasa hizo hesabu niza mikorosho mikubwa kiasigani

Mikorosho 98 kilo 800????

Kuna shida hapo kwenye mikorosho yako!


Hukupuliza sulfa sawa sawa
 
Mikorosho 98 kilo 800????

Kuna shida hapo kwenye mikorosho yako!


Hukupuliza sulfa sawa sawa
Kuwa na idadi nyingi ya mikorosho sio sifa Je mikorosho yote ipo active. Wakati nanunuwa shamba langu nilikuta baadhi ya mikotosho haizai nikaifanyia breeding kwa sasa nazoa tu.
 
Kuwa na idadi nyingi ya mikorosho sio sifa Je mikorosho yote ipo active. Wakati nanunuwa shamba langu nilikuta baadhi ya mikotosho haizai nikaifanyia breeding kwa sasa nazoa tu.

Nimekusoma mkuu.

Grafting Ni moja ya njia za kuongeza yields shambani

Mi nimepanda micheche 1,000 ya kisasa ya mikorosho shambani kwangu mwaka na nusu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…