Biashara ya kuanzia mtaji milion 200

Ukiweka Utt hiyo fedha (mfano Jikimu) utapata returns za a bit over 9% per annum. Hii ni sawa na sh 1,500,000 kwa mwezi. Minimal risk.

Halafu unaendelea kutafuta dhahabu.
Imeshuka, Mara ya mwisho naona ulikuwa 12% per annum, 1% monthly.
 
Imeshuka, Mara ya mwisho naona ulikuwa 12% per annum, 1% monthly.
Kiasi imeshuka mkuu - nadhani ni kuendana na mazingira ya biashara wanakowekeza. Lakini hii 9% ndiyo unapata mkononi. Kwa ziada kuna capital appreciation (kupanda kwa thamani ya kipande polepole).

Kwa tusioweza au tulio waoga wa risk kubwa za biashara option hii ni suluhisho ukiwa na pesa ndefu kiasi.
 
Mkuu wekeza kwenye viwanda vidogodogo vya food processing ,mkuu utapiga hela sana ,Mimi nimefanya Sells na Marketing kwa miaka mitano aisee watu wanapiga hela sana sana ,Mtaji wako utakua na hutojutia
 
Ningefanya haya...

1. Forex
2. Real estate
3. Commercial farming.
4. Kampuni ya ujenzi (class A)
 
Una akili sana mkuu...

Ndio biashara ya maana ninayo fanya kwa sasa...
 
Ukishindwa kabisa kabid bonds tu mkuu, risk free[emoji4]
 
Brother biashara ya mazao inalipa sana, pia kuku kutoa mikoan kupeleka mjin.
 
Nikopee milioni 10 tu mkataba wa mwaka nakurudishia milioni 15.

Nikuonyeshe cha kufanya nina wazo lakini halina mtaji.
acha ujinga yeye pia ana ndugu kibao wenye mawazo yenye kulipa kuliko lako ,fanya alichoomba hiyo avatar inafaa kuwa yako halisi kwa ubongo ombaomba huo
 
Unaijua dhahabu au?

Hapo ni kilo mbili tu kwa hiyo hela
Mkuu nilichanganya kilo na gram.. Nilikuwa na lengo la kusema gram 2000 kwasababu dhahabu ambayo haujawa processed ni 50000-70000 kwa gm
 
Mkuu njoo kwenye biashara ya madawa ya binadamu. Inalipa. Msingi ni kutafuta location nzuri iliyochangamka hutajutia
 
Mkuu njoo kwenye biashara ya madawa ya binadamu. Inalipa. Msingi ni kutafuta location nzuri iliyochangamka hutajutia
 
Kiongozi unataka kuniambia kwa mtaji wa 80mil kuingiza faida ya laki tano kwa mwezi ni sahihi? mbona hiyo faida ni kiasi kidogo sana?
 
Kiongozi unataka kuniambia kwa mtaji wa 80mil kuingiza faida ya laki tano kwa mwezi ni sahihi? mbona hiyo faida ni kiasi kidogo sana?
Ni mtazamo wangu kama faida haitaguswa kwa miaka mitatu na nyumba kuuzwa kwa faida kuliko kuteki risk na kutumia mtaji mkubwa huku ukigawana faida na TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…