hivi wewe ni mwanaume kweli au 'mbebez' wewe!! Biashara za 'mbebez' hizo wewe!! Tatizo mijitu myeusi inapenda vitu laini sana!!..tafuta kazi za kiume wewe!!...tatizo shule huna na unaonekana umeishia darasa la 5b wewe!!
Nilikuwa sipendi kubet ila nilikuwa nikimsindikiza rafik yangu nikawa naona anashinda siku nikabet.
Nilibetia timu kumi na ni risk kubet timu nyingine. Zote zilikubali nilipata million 60 kwa tzsh.
Aisee si kuacha nikawa na bet japo nilikuwa nakosa lakin sikuacha hadi nilipoama mji na kuamua kuacha.
Hiyo pesa niliitumia vibaya nilikuwa mwanafunzi.
Nilitumia kutembelea nchi mbalimbali nikiwa na manzi wa kikenya pesa ilivyoisha hakaniacha siwezi msahau huyo manzi.
Hasira niliimalizia kwa kuomba mtaji kwa mama na kufanya biashara kwa nguvu zote baada ya miezi 6 niliipata zaidi ya hiyo.
Hapo nikiwa bado mwanafunzi
Huyo mkenya akarudi kuniomba msamaha nikakataaa nilijifunza
Kuliwa watu twaliwa tu hata mie nimewahi liwa hadi nikakosa usingizi.
Ila siwezi acha hadi norudishe hela yangu wamekula nyingi sana mshahara wa mwalimu wote umeenda
Mkuu hebu nicheki nijue nataka anzisha biashara ya bettng ila sijui lolote kuhusu hilo kaka sasa nisadie manake huku niliko vijana naona wanabett kama wamelogwa vileMpuuuzeni huyo kichaa aliemshambulia ndugu yetu hakujua maana ya bettin ukute alidhan n kama upatu vile,mkuu hapo kwa mhindi ukiiuza mikeka ya laki moja ww commission yako n tsh 7000 hiv,so kama upo na wateja wa kutosha utamek pesa nying sana pia yatakiwa uwe na mtaji w akuwalipa wale watakao kuwa wanashind mikeka midogo midogo
Sent from my iPhone using JamiiForums.&[HASHTAG]#128297[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128296[/HASHTAG];
0783848802Hahah,,mshahara wote kweishnehi,,ila uckate tamaa mkuu,hadi urudishe chako asee
Azam juzi walinichania mkeka wangu na 4G yao sina hamu naoMkuu hebu nicheki nijue nataka anzisha biashara ya bettng ila sijui lolote kuhusu hilo kaka sasa nisadie manake huku niliko vijana naona wanabett kama wamelogwa vile
Ulianza na mtaji wa kiasi gani, na umechukua uwakala wa kampuni gani mkuu?Mrejesho:
Nashukuru kwa michango yenu ya mawazo nimeifanyia kazi mpka sasa nina vituo tisa vya uwakala na pesa nyingi napata more tha 8ml as profit a month kwa vituo vyote.
Changamoto zilikuepo mwanzoni ila sasa nina uzoefu kila kitu kinakwenda sana na biashara inakua.
Not: na sikuanza na mtaji mkubwa
Enheee hapa sawa sasa bos ulianza na mtaj wa bei gan na ile slot mashine wanauzaje wao tuelmishe kama weye ulivo elimishwa mwanzoMrejesho:
Nashukuru kwa michango yenu ya mawazo nimeifanyia kazi mpka sasa nina vituo tisa vya uwakala na pesa nyingi napata more tha 8ml as profit a month kwa vituo vyote.
Changamoto zilikuepo mwanzoni ila sasa nina uzoefu kila kitu kinakwenda sana na biashara inakua.
Not: na sikuanza na mtaji mkubwa
Mkuu vipi changamoto zilizopo ni zipi??Mrejesho:
Nashukuru kwa michango yenu ya mawazo nimeifanyia kazi mpka sasa nina vituo tisa vya uwakala na pesa nyingi napata more tha 8ml as profit a month kwa vituo vyote.
Changamoto zilikuepo mwanzoni ila sasa nina uzoefu kila kitu kinakwenda sana na biashara inakua.
Not: na sikuanza na mtaji mkubwa
Naona hadi leo hajarudiMkuu vipi changamoto zilizopo ni zipi??