concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Kuna njaa kali sana miaka hii miwili ndo maana.Biashara nzur.sana hyo mkuu..na muda mzur wa kununua mahindi ni kuanzia mwez wa 5mpaka wa 7..hiki nikipind cha wakulima weng wanavuna shamban na bei inakua cheap kidogo kwa mbeya lakn sijuh mikoa mingine..japo kuwa inaonekana kwa huu utawala wa baba ***** anataka kuweka usawa kwa mkulima siyo kama utawala uliopita, mkulima alikua ananyonywa sana..point yangu ni kwamba kipind hiki cha mavuno mahind yapo juu sana. Kilo 1 sh 450...wakat huko nyuma kipind cha mavuno kama hiki kilo 1 inakuaga sh 150
Safi sana, ushauri murua kabisaaaaa.Wakati tunasubiri wataalamu wa hiyo kada, mimi ningependa nikupongeze kwa hiyo hatua uliyofikia. HONGERA SANA.
Katika biashara chache ambazo ni very promosing for the future mart demands ni 'food processing'. There's hopes in this enterprise.
Kuna makala flani nilisoma, huko Mwanza kuna kampuni flani ya kupack na kusambaza unga, ilianza na capital ya almost 1.5M lkn ndani ya miaka mi5 ilikua na turnover ya around 8 bn. Nahisi hiyo kampuni ilikua 1st runner ktk shindano la best mid-sized companies in Tz 2014.
Cha msingi ujue demand ya wateja wako, ujue jinsi gani utaweza kupata resouces za kurun biashara yako non-stop, biashara yako ijitangaze, produce more than the needs of your consumers ili uwe aggresive kupanua biashara yako zaidi na zaidi.
Just a few....
Hahahaha, unaishi wapi wewe?Sasa hivi biashara hii siyo kama zamani.Sasa hivi watu wamegeukia dona baada ya kupata elimu kuwa sembe haina faida mwilini na hivyo haifai kwa afya ya binadamu.
Jaribu namba hii 0756-024720
Nahitaji kudesign logo na ku print mifuko
Mkuu naona huu uzi wa kitambo lkn jee hao wathailand vipi wapo this year ili tuangalie tunapataje hyo chance?Nikweli kwenye Kilimo kuna fulsa nyingi lkn Kwenye kilimo km huna mtaji nikujilisha Upepo juzi nilikuwa 88 Moro,na Dodoma,Nilikuta waTHAILAND wanawataka wakulima watakaoweza kulima Mahindi yale zamani yaliitwa YANGA kwaajili yakutengenezea Chakula cha mifugo...wanasema wanamahitaji makubwa ya hiyo kitu lkn km uko peke yako angalau uanzie Eka 30 vinginevyo muwe km kikundi so unaweza kuona Bila mtaji ni Shidaaaaa.
Hebu fafanua hizo issue hapo zinaumuhimu gani ili tuangalie tunakutafutaje chief.Na kwa yeyote atakayehitaji nembo au 'label' kwa ajili ya bidhaa zake za Unga tafadhali wasiliana nami.
Pia utapata offer ya bure ya:
1. Proforma Invoice Template
2. Tax Invoice Template
3. Delivery note template
4. Headed Paper Template
5. Biz Card Template
6. Payment Receipt Template
Aidha ili kujiridhisha juu ya uwezo wangu tafadhali tembelea:
Blog: http://logorid dims.blogspot.com
My Facebook page:https.facebook.com/mylogoriddim
Karibuni sana tuyajenge.
Nikipata fursa nitakupa ushauri zaidi ila kwa sasa naomba nijue site yako iko wapi na unalenga watea gani.Kama upo mini tafakari kwa kina kama una strategy ya kushindana na Bakhresa na Nyati pamoja na Azania ambao ni wafanya biashara wakubwa.Wadau. Nimeisha anza mchakato wa hiyo kitu kwa maana ya jengo ambayo mi nimeiita phase one sasa ndo najipanga kuezeka.
Phase two ni kununua machines ambazo ni full set kusaga na kukoboa pamoja na mizani mikubwa na midogo na packaging materials bila kusahau mahindi ambayo mdo mtaji.
Phase three ni kuanza kazi.
Naomba muongozo au ushauri kwa ambaye either anafanya au anauzoefu na hii biashara japo kwa reaserch ndogo niliyofanya inalipa na nimeamua kuanza at a medium level scale walau nipate market share kias fulan lakin naona changamoto ni nyingi mf kupata mahindi fake, unga au mahindi kuharibika ama kuoza, n.k nk.
Hizo picha ndo mjengo wa kiwanda na bahati nzuri nina eneo kubwa hapa kwangu so nimeona bora nijenge hapa kupunguza gharama na iwe rahisi kusimamia.
Ntashukuru kwa ushauri.
View attachment 174571
View attachment 174572
View attachment 174573
Si lazima,maana naona pale TANDALE wanapaki tu kwa majina yao basi.Safi sana Lutifya.
Hawa wanapatikana wapi mi niko temeke? Na je nikinunua lazima niwapelekee au watakuja kiwandani? Na je hii biashara inanilazima kusajiri TFDA na TBS?
Ni vizur uonane na watu kama LOGORIDDIM wakuandalie hizo nyaraka kwakua kwenye hii biashara lazima uwe na hivyo vitu,utauza bila risit?bila profoma?Hebu fafanua hizo issue hapo zinaumuhimu gani ili tuangalie tunakutafutaje chief..
Okey i got u, so ur a logo rid dim?Ni vizur uonane na watu kama LOGORIDDIM wakuandalie hizo nyaraka kwakua kwenye hii biashara lazima uwe na hivyo vitu,utauza bila risit?bila profoma?
Hapana,ila kuna kazi huwa nafanya natumia hivyo vitu kama proforma, receipt, delivery notice.okey i got u,so ur a logo rid dim?
Yaah...wapo nilitoka Juzi huko wapo kwenye Geti la kuingilia hapo 88 MorogoroMkuu naona huu uzi wa kitambo lkn jee hao wathailand vipi wapo this year ili tuangalie tunapataje hyo chance?
Hawa hapa Wanajiita CP 0684 611 167..Kwa hapa Dar...OFFICE zao ..ziko Mlimani City ila juzi nilitoka Moro nimewakuta 88Wako wapi vipi unayomawasilino nao kiongozi.
Nimeshayaweka humu 0684 611 167kaka mawasiliano unayo please
Yaah, ni kweli Mkuu haya Mahindi yana virutubisho sana..Wenyewe wanasema wananunua kwa wakulima wanapeleka kwao. Mwaka wa jana walinunua kwa 1kg 550 Bei zao wananunua kwa Kilo sio kwa Gunia.Watakuwa si wanaenda kula? Haya mahindi ndo yenye virutubisho vingi sana kuliko haya meupe na ukiweza kuwa na unga wake wa Dona ukawa unatumia inakuwa vizuri sana. Hata kwenye kutengeneza unga wa uji inashauliwa kutumia haya mahindi.