Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Mashine zipo kwa size,nashauri kwa kusaga sembe kinu cha kusaga utumie size 100,na chakukoboa tumia roller 3 au roller 4,Vinu imara kwa hapa bongo ni vya kuchonga kwenye viwanda vidogovidogo vya bongo ndio vizuri, coz madukani vingi ni vya kihindi mabati yake ni laini mno hua havidumu, lakini pia sijawahi ona kinu cha roller 3 cha India.Mashine zote hizi zinahitaji motor ya hzp 40 ambazo moja ina range 1.3-1.5 Tsh inategemea jinsi utavyoipata,Mimi niko huko kitambo na wiki iliopita nilitengeneza chakusaga size 100 kwa 1.4 na chakukoboa kwa 1.2,vinu hivi vinauwezo wakusaga 1tone/hrs.
Hello. Huu uzi wa muda mrefu lakini naomba msaada wa number yako kama hutajali
 
Hello. Huu uzi wa muda mrefu lakini naomba msaada wa number yako kama hutajali
Sor haya majina bandia humu smtz ni kikwazo sana.Siko tayari kutoa namba yangu ya simu kwani sina uhakika na mengi ninayoandika humu kama yote ni salama kwangu,

Usijali we uliza chochote hapa jamvini niko tayari kutoa ushirikiano mkuu.
Karibu.
 
Mkuu mimi niko dar. Ni kweli kuwa kwa sasa kuwa watu wengi wanakula dona. Lakini kumbuka kuwa kama unatengeneza dona lazima uwe na oda kabisa na uwe makini na mahindi unayo nunua, mengine wanaweka dawa ku-prerve. Kwa hiyo wakati wa kutengeneza dona ni lazima uyaoshe Ni vigumu Kwa uzoefu wangu kutunza unga wa dona kwa muda mrefu.

Unavunda haraka kwa sababu mahindi wanakauka kwa kutumia joto la jua hivyo ku-control moisture content ni vigumu unless una unakausha hayo mahindi kwa njia ya kisasa zaidi. Pia swala la mizani uwe makini. Wakala wa vipimo huwa wana mizana ambayo weme-certify/recommend unaweza ukawaon wakakushauri. Kupunguza usumbufu na imani kwa wateja mimi nilinunua mzani mkubwa wa digital wenye capacity ya 100kg for about 1M. Pia kumbuka kutengeneza nembo yako.
Mkuu, unaendeleaje na biashara? Naomba kufahamu aina ya mzani wako ulionunua na sehemu uliyonunulia (japo uzi ni wa zamani lakini ninaimani utanijibu)
 
Mkuu, nimependa commitment yako, nami ndoto yangu hatimaye naenda kuanza kuifanyia kazi baada ya zaidi ya miaka 15 sasa. Mashine nilinunua na si muda mrefu naanza kujenga jengo.
Ninaweza kupata Layout/flow plan mkuu? Hata kama ni kwa maongezi mkuu.
 
Sor haya majina bandia humu smtz ni kikwazo sana.Siko tayari kutoa namba yangu ya simu kwani sina uhakika na mengi ninayoandika humu kama yote ni salama kwangu,

Usijali we uliza chochote hapa jamvini niko tayari kutoa ushirikiano mkuu.
Karibu.
Mkuu, nitakutafuta. Nahitaji sana uzoefu wako kwani nipo kwenye mchakato wa kuingia huko kufikia mwisho wa mwakaa huu!
 
Vipi biashara inaendaje?na mashine zako ulinunua wapi ambazo ni nzuri?
 
View attachment 1489394

Hellow wanaJF,

Nina wazo la kuanzisha biashara ya kusaga unga wa sembe na ku-pack kwa ajili ya kuuza. Jamani naombeni mawazo yenu.


WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJIFUNZA KUHUSU BIASHARA HII




MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
Hii Biashara zaidi sana ni Mali kauli hamnaga cash(yaani unampa mteja then akishauza akulipe ), so inahitaji subira na ustahimilivu wa mtaji pia.
 
Back
Top Bottom