Biashara ya kuchezesha pool table inalipa?

Biashara ya kuchezesha pool table inalipa?

Pool mpya..kenice 1,600,000
Used jwa hao hao kenice wanauza 1,000,000 mpaka 1,200,000 good as new

Biashara ya pooltable yenyewe kama yenyew hailipi kiihvyo,ilikua ndio biashara yangu nilivyomaliza form six.
Ukipata eneo nzuri lenye vijana wengi wacheza kamari (max loss) ndio kidogo utaona faida kwasababu game zinaisha fasta fasta kwa hyo wanacheza mizunguko mingi .ila wale wacheza looser game inakawia kuisha ndanu ya lisaa watu wanapiga game mbili tu...

Token sh 200/=

Uhakika wa game pe day zinaweza kuwa hata 40+ kwa max loss

Biashara ni nzuri siku za wkend sana,
Ukitaka kuifaidi hyo bishara zifanye ziwe 3 in one..tafuta eneo nzuri weka pooltable lako,weka sehemu ya kuonyesha mpira na kipub cha kishkaji tu,

Wacheza kamari wanakula sana safari virukuu,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Goodkuck
 
Pool mpya..kenice 1,600,000
Used jwa hao hao kenice wanauza 1,000,000 mpaka 1,200,000 good as new

Biashara ya pooltable yenyewe kama yenyew hailipi kiihvyo,ilikua ndio biashara yangu nilivyomaliza form six.
Ukipata eneo nzuri lenye vijana wengi wacheza kamari (max loss) ndio kidogo utaona faida kwasababu game zinaisha fasta fasta kwa hyo wanacheza mizunguko mingi .ila wale wacheza looser game inakawia kuisha ndanu ya lisaa watu wanapiga game mbili tu...

Token sh 200/=

Uhakika wa game pe day zinaweza kuwa hata 40+ kwa max loss

Biashara ni nzuri siku za wkend sana,
Ukitaka kuifaidi hyo bishara zifanye ziwe 3 in one..tafuta eneo nzuri weka pooltable lako,weka sehemu ya kuonyesha mpira na kipub cha kishkaji tu,

Wacheza kamari wanakula sana safari virukuu,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Goodkuck
Asante sana mdau ntaanza kuifikiria hio ya m1 labda na virikuu[emoji23][emoji23]
 
Hapa mtaani kwetu Kuna pool table watu wanacheza kuanzia asubuhi hasa weekend hadi siku za kawaida ila siyo Sana ila watu hadi saa tisa mda mwengine saa nane usiku wanacheza dau elfu tano wengine Sana Sana kuanzia jero na buku au buku 2 ndio wateja wengi ko bado inalipa Sema location muhimu Sana mtaa wetu kamaria wengi na wala mirungi bangi sigara.. Kuna kamari ya betting pia ipo ya huyo mchina casino lile watu wanabadili kamari tu..
 
Sasa hizi pool table matengenezo yake Ni kwa muda agani unafanya marekebisho ili isife? Pia maana unatakiwa kujua hayo yote ili ujue biashara inafanikiwaje!
 
Habari brothers and sisters.

On my side napatikana Morogoro sana, naomba kuulizia mtu anayetengeneza pooltable au anayejua wapi zinauzwa ikiwemo bei yake na ubora pia tuwasiliane tafadhali.
 
Nilikuwa mpenzi Wa pool table sana mpaka siku za karibuni nilipoamua kuacha uraibu.

Ni biashara nzuri sana ukipata location nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sielewagi wanavocheza pooltable. Mara huyu kacheza mara moja, huyu mara mbili, mara mpira mweupe udumbukie wautoe tena.
 
Bei ya sasa hivi ya Pool Table ni sh.ngapi? Msaada wakuu nataka nianzishe ligi ya pool table.
 
Sehemu nyingi tu hizi pooltables zinatenezwa hapa dar...
Kuna sehemu takikati ya riverside na mabibo hostel, pia maeneo flani karibu na ubungo kibangu...
Niliulizia bei wakaanza na 1.2 M lkn kuna maelewano...
Nataka pool table naomba unipigie 0762336484
 
Back
Top Bottom