Watanzania wengi hatuamini katika elimu tulizonazo. Utakuta mtu amesomea ualimu lakini akiingia mtaani anafanya biashara ya duka. Mtu kasomea mazingira akiingia mtaani anafanyabiashara ya magari........... Hivyo hivyo kwa wafanyakazi pindi wakistaafu wanaishia kufanya kazi tofauti na walizokuwa wakizifanya mwanzoni. Yaani ni mchanyato wa ajabu kabisa
what are you best at? Do that and if it seems hard keep doing it, until it either fail completely or stand completely!