Biashara ya kuingiza Nyimbo na movie niwe na kiasi gani cha mtaji

Biashara ya kuingiza Nyimbo na movie niwe na kiasi gani cha mtaji

Hauna hata ndugu ana desktop akuazime kwanza ufanye test au huko ulipo hakuna mtu anafanya ? kumbuka kama nilivyosema hii ni piracy na kila mwenye simu anaweza ku download mwenyewe kwenye simu yake hence sijui target yako ni kina nani na upo wapi..., ni bora kuuza yale maseries ya Kikorea n.k, ingawa nao ni wizi ila kina Jumong hawana muda wa kupoteza pesa kukutafuta bongo
NATAKA KUWA MWAKILISHI WA MOVIE ZA KIKOREA,KIFILIPINO,KICHINA NA BARA LA AMERICA KUSINI,PAMOJA NA KIZILINDA HAKI ZA WASANII WA NCHI HIZO.
 
NATAKA KUWA MWAKILISHI WA MOVIE ZA KIKOREA,KIFILIPINO,KICHINA NA BARA LA AMERICA KUSINI,PAMOJA NA KIZILINDA HAKI ZA WASANII WA NCHI HIZO.
Mwakilishi unamaanisha nini ?, na kwanini nchi hizo wakupe wewe hilo deal ?, utawanufaisha vipi ?

Kama unamaanisha exclusive rights za kuonyesha hivo movies kwanini wakupe wewe na utazionyeshea wapi.., TV stations ndio huwa zinabid exclusive rights za mahali fulani na kwa miaka kadhaa au muda kadhaa na pesa yake sio ndogo...

Kama unamaanisha kuwakilisha ili ushike watu wasifanye piracy, kwanini upewe wewe una uwezo gani wa kufanya hivyo na ukiwashika watu una uwezo wa kuwabana na kuwawajibisha? hizo haki utalizinda vipi na kwa ujira gani na una facilities zipi za kufanya hivyo?
 
Mwakilishi unamaanisha nini ?, na kwanini nchi hizo wakupe wewe hilo deal ?, utawanufaisha vipi ?

Kama unamaanisha exclusive rights za kuonyesha hivo movies kwanini wakupe wewe na utazionyeshea wapi.., TV stations ndio huwa zinabid exclusive rights za mahali fulani na kwa miaka kadhaa au muda kadhaa na pesa yake sio ndogo...

Kama unamaanisha kuwakilisha ili ushike watu wasifanye piracy, kwanini upewe wewe una uwezo gani wa kufanya hivyo na ukiwashika watu una uwezo wa kuwabana na kuwawajibisha? hizo haki utalizinda vipi na kwa ujira gani na una facilities zipi za kufanya hivyo?
Long long protocol.
 
Back
Top Bottom