Wakuu katika zunguka zangu kukosa kazi na Nina aidia kubwa ya computa kutoka chuo naona fursa kuingiza Nyimbo kwenye memor kadi na flash nipeni bajeti nianze kazi. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza external 1TB bei 90000/=
mimi ninayo 1TB external nauza elfu 90 tukuanzia 250 desktop nzuri unapata mkuu , Kuhusu hdd sijawahi kuagiza k koo, ila kwa 150 unapata hdd one tera boss ,.
Nauza external 1TB bei 90000/=
NATAKA KUWA MWAKILISHI WA MOVIE ZA KIKOREA,KIFILIPINO,KICHINA NA BARA LA AMERICA KUSINI,PAMOJA NA KIZILINDA HAKI ZA WASANII WA NCHI HIZO.Hauna hata ndugu ana desktop akuazime kwanza ufanye test au huko ulipo hakuna mtu anafanya ? kumbuka kama nilivyosema hii ni piracy na kila mwenye simu anaweza ku download mwenyewe kwenye simu yake hence sijui target yako ni kina nani na upo wapi..., ni bora kuuza yale maseries ya Kikorea n.k, ingawa nao ni wizi ila kina Jumong hawana muda wa kupoteza pesa kukutafuta bongo
Mwakilishi unamaanisha nini ?, na kwanini nchi hizo wakupe wewe hilo deal ?, utawanufaisha vipi ?NATAKA KUWA MWAKILISHI WA MOVIE ZA KIKOREA,KIFILIPINO,KICHINA NA BARA LA AMERICA KUSINI,PAMOJA NA KIZILINDA HAKI ZA WASANII WA NCHI HIZO.
Long long protocol.Mwakilishi unamaanisha nini ?, na kwanini nchi hizo wakupe wewe hilo deal ?, utawanufaisha vipi ?
Kama unamaanisha exclusive rights za kuonyesha hivo movies kwanini wakupe wewe na utazionyeshea wapi.., TV stations ndio huwa zinabid exclusive rights za mahali fulani na kwa miaka kadhaa au muda kadhaa na pesa yake sio ndogo...
Kama unamaanisha kuwakilisha ili ushike watu wasifanye piracy, kwanini upewe wewe una uwezo gani wa kufanya hivyo na ukiwashika watu una uwezo wa kuwabana na kuwawajibisha? hizo haki utalizinda vipi na kwa ujira gani na una facilities zipi za kufanya hivyo?