fikirijohnas
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 29
Habari waungwana!
Katika pitapita za hapa na pale, katika eneo fulani mkoani Simiyu nimeona mradi wa maji unaojisumamia wenyewe. Yaani,mteja anaweka pesa ya sarafu kwenye mashine,kisha anakinga ndoo. Kama ameweka sh. 50 atapata maji ya pesa hiyo au zaidi kulingana na pesa yake.
Hakuna haja ya msimamzi, ikifika jioni mwenye kisima anafungua mashine na kuchukuwa mapato ya siku
Naomba kufahamu kama kuna biashara nyingine inayoendeshwa kwa mfumo huo,na wataam wa mifumo hiyo wanapatikana wapi na gharama zao ni kiasi gani.
Ahsanteni.
Katika pitapita za hapa na pale, katika eneo fulani mkoani Simiyu nimeona mradi wa maji unaojisumamia wenyewe. Yaani,mteja anaweka pesa ya sarafu kwenye mashine,kisha anakinga ndoo. Kama ameweka sh. 50 atapata maji ya pesa hiyo au zaidi kulingana na pesa yake.
Hakuna haja ya msimamzi, ikifika jioni mwenye kisima anafungua mashine na kuchukuwa mapato ya siku
Naomba kufahamu kama kuna biashara nyingine inayoendeshwa kwa mfumo huo,na wataam wa mifumo hiyo wanapatikana wapi na gharama zao ni kiasi gani.
Ahsanteni.